Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
2-0 khe khe kheeeeeeeeeeeee
Ngoja aje toka huko atokako.......GAME OVER......najua upo happy sana......May be this will make AW add some sugar in his SALTY Squad!!!!! SHIT!!!!!!!
2-0 khe khe kheeeeeeeeeeeee
Hahahahahaha!! Nimeipenda sana hii, naweza kuitumia kwenye signature yangu?
Sijui Daglish alikuwa anasubiri nini kumuingiza Suarez
Kwa mara ya kwanza Liverpool wanatufunga nyumbani, meseji tosha kwa Wenger, timu nyepesi, mechi inayofuata ManU tuna majeruhi, suspensions na kama wenger hajaenda kusajili sasa sitomuelewa kabisaa.
wana JF na log Off .. tutaonana Kesho...! DUH!!!! :angry:
AW yuko wap?, simwon?
...weee Questt embu tyafuta hii mtu na Wacha Boy na yule kijana anajiita Mbu...nasikia wanaenda kuji 'mkwawa'....
2-0 ambazo hazina kujitetea.....yaani hapa tumezidiwa hakuna reason ya msingi ya kwa nini kwa jinsi tulivyocheza tuambulie hata DRAW.... well deserved Loss at home ground.... and next week the same shit will happen.... possibly kwenye CL mid week napo tia maji tia maji......
lakini you are good kuliko hata msimu uliopita..