Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yani mkuu kila siku zinavyozidi kwenda bora jana.

Hakuna kitu kibaya kama mikosi iachanganyike na uzembe. Mikadi nyekundu, injury jumlisha kutofanya maamuzi mapema ya issue za fabregas na Nasri haya ndio mavuno tunayopata.

Lakini siwezi kulalamika sana kwa leo kwani timu ni mahututi kwa sasa kutokana na hizo kadi,injury na Wenger kuendelea kutafuta quality. Mda hupo wa kufanya usajili na hata kama itachukua matokeo mabaya kumshawishi zaidi Wenger kufanya usajili basi hiwe hivyo.

Wala hatutaki wachezaji wengi wa tatu tu wanatosha.
Jamaa ni mbishi sana anaona falsafa yake imefeli lakini hataki kuwa muungwana na kubadilika mbona barcelona wanasajili wacheza kwa pesa ya maana na wachukua vikombe.
Mimi napenda sana Nasri na wote walioko kwenye list ya kuuzwa waende ili tuone what next in his play book? ingawa itakuwa sio fair kwa true arsenal fans.
 
Wakuu i have to be honest

Leo kwa mara ya kwanza nimeanza kumuelewa Wenger.... I never expected Arsenal kuwa na watoto wengi vile na nadhani wana very high standard kulinganisha na bei za akina carrol, henderson au downing... Yes we won but once again, it can be proven kwamba english players are trash ni hadi suarez na raul walipoingia ndio gemu ikachenji, tena after a red card

I didnt want to say a word lakini kuna ka-dogo kanaitwa wacha, kana kelele kuliko kware na kuna wakati kanakera sana

Let enjoy soccer harmoniously

Leo we won but liverpool is still not convincing and arsenal wana watoto wazuri mno but their goalie is one of the best

Poleni watani, tumeondoa gundu la zaidi ya miaka 10 na its just game two
 
Yani mkuu kila siku zinavyozidi kwenda bora jana.

Hakuna kitu kibaya kama mikosi iachanganyike na uzembe. Mikadi nyekundu, injury jumlisha kutofanya maamuzi mapema ya issue za fabregas na Nasri haya ndio mavuno tunayopata.

Lakini siwezi kulalamika sana kwa leo kwani timu ni mahututi kwa sasa kutokana na hizo kadi,injury na Wenger kuendelea kutafuta quality. Mda hupo wa kufanya usajili na hata kama itachukua matokeo mabaya kumshawishi zaidi Wenger kufanya usajili basi hiwe hivyo.

Wala hatutaki wachezaji wengi wa tatu tu wanatosha.
kushinda footbal lazima uwe na bahati mkuu

Manure wanayo sana tu
 
Wakuu i have to be honest

Leo kwa mara ya kwanza nimeanza kumuelewa Wenger.... I never expected Arsenal kuwa na watoto wengi vile na nadhani wana very high standard kulinganisha na bei za akina carrol, henderson au downing... Yes we won but once again, it can be proven kwamba english players are trash ni hadi suarez na raul walipoingia ndio gemu ikachenji, tena after a red card

I didnt want to say a word lakini kuna ka-dogo kanaitwa wacha, kana kelele kuliko kware na kuna wakati kanakera sana

Let enjoy soccer harmoniously

Leo we won but liverpool is still not convincing and arsenal wana watoto wazuri mno but their goalie is one of the best

Poleni watani, tumeondoa gundu la zaidi ya miaka 10 na its just game two
King Kenny anatakiwa aongeze high scoring striker wa kumsaidia Carrol. Pamoja na kufungwa I think Arsenal wamecheza vizuri esp. for the 1st half.
 
Tumsubiri Mzee wa khe khe khe atasemaje, Kama kawaida wakati wa mechi anaingia mitini


Atasema Chelsea na Manchester wametoa baasha kwa Ramsey ajifunge goli la kwanza.....kazi itakuwa kudefend hilo la pili.
 
King Kenny anatakiwa aongeze high scoring striker wa kumsaidia Carrol. Pamoja na kufungwa I think Arsenal wamecheza vizuri esp. for the 1st half.
carrol is just a waste of other liverpool talet

he is slow and not intelligent

i would given kuyt, suarez combo as my prefered stiking force
 
All the other clubs made their moves only Wenger and Arsenal are still waiting!
 
Atasema Chelsea na Manchester wametoa baasha kwa Ramsey ajifunge goli la kwanza.....kazi itakuwa kudefend hilo la pili.

kawa bubu leo

kwekwekwekwekwekweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Arsenal kwishneni taabu itaanza pale yule mzee wa kheee keeee atakapokuja na visingizio luluki alivyo kichaa anaweza kudai Man wametoa bahasha kwa Ramsey.
 
King Kenny anatakiwa aongeze high scoring striker wa kumsaidia Carrol. Pamoja na kufungwa I think Arsenal wamecheza vizuri esp. for the 1st half.

carrol is just a waste of other liverpool talet

he is slow and not intelligent

i would given kuyt, suarez combo as my prefered stiking force


Carroll is rubbish, but Kenny has to justify his expensive buys!
 
Carroll is rubbish, but Kenny has to justify his expensive buys!
to me carrol was just a buffer (business) to calm the kops in january, he was more of a decoy rather than a footballing decision

I wish is get shot in the arse and die

ohh, we can loan him out to arses
 
hadi sasa sielewi wenger anatoa wapi wale watoto............ fringpong is the man

sasa subiri campbell azoee na kale ka ox-chamberlain
 
<span style="font-family: arial black"><font color="#0000ff">All the other clubs made their moves only Wenger and Arsenal are still waiting!</font></span>
<br />
<br />
Sasa gunners ni vipofu katika chumba chenye giza tukimtafuta paka mweusi ambaye pia hayupo!
 
<br />
<br />
Sasa gunners ni vipofu katika chumba chenye giza tukimtafuta paka mweusi ambaye pia hayupo!
Bado timu ya Arsene Wenger ni nzuri. Inahitaji tu a few reinforcements kama a top striker, centerback, goalie and one midfilder.
 
to me carrol was just a buffer (business) to calm the kops in january, he was more of a decoy rather than a footballing decision

I wish is get shot in the arse and die

ohh, we can loan him out to arses


Actually anaweza kucheza kwenye defence, maana huko nyuma Arses ziko wazi sana, yaani wapinzani wanaingiza tu mabao.
 
hadi sasa sielewi wenger anatoa wapi wale watoto............ fringpong is the man

sasa subiri campbell azoee na kale ka ox-chamberlain

Dogo mkali sana atulize tu uhuni kidogo.

Campbell anatisha na chamberlain plus Ryo nae wana future nzuri.

Tunaitaji tu usajili wa beki pale nyuma na play maker tuwe powa, lakini hata hao wawili tunaonekana tunaomba mengi kwa Wenger. Bado mda upo anatafuta quality. Naona kwa Mata kakimbia bei Chelsea wameenda kufanya kweli.
 
Back
Top Bottom