Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Je wakuu mnafahamu kwamba Arsenal na Udinese wamepoteza mchezaji mmoja kwa kuwauza kwa Barcelona?

Cesc Fabregas ameuzwa kwa paundi milioni 35 na Udinede wao wamemuuza mshambuliaji wao Alexis Sanchez kutoka Chile kwa Barcelona.
 
Wapenziwa Arsenal, mpo?
Ndio naangalia game, natumaini, vijana wataonyesha umahiri wao na kuwachapa kama goli tatu ivi.
Cushion nzuri tukirudi Udinese.


Ila ka moyo kanadunda kama kawaida nikiwatizama hawa watu!
Kazi tunayo!
 
1 ) huyu striker wa leo.. atoke .... kama vipi amfuate ebue...

2) Naangalia station ya wachina hapa CCTV 5 .. hawa jamaa naelewa lugha yao.. basi commentators walianza kuponda arsenal... wakaanza kuhesabu wachezaji walioondoka.. muda unapozidi kwenda wanazidi kuwa wadogo.... hahahahaha ila naona wameamia kumponda gervinho...

P.S watu watajua lini Cesc aliikuta gooners , wameondoka key players before na gooners tuka move on!.....
 
Kwa ukweli kwa vile Wiltshere hayupo Song ana kazi nzito, Ramsey hamsaidii sana, wakati yeye Song anapoondoka nafasi yake kama DM tunakuwa exposed hapa nyuma. Na Gibbs naye anapenda overlapping - hali inakuwa tete wakati Gibbs na Song wote wamo kwenye opposition half ambapo imeshatokea kama mara 2 leo, kwa timu nyengine zinapiga counter-attack tunaweza kufungwa kirahisi sana.
 
1 ) huyu striker wa leo.. atoke .... kama vipi amfuate ebue...

2) Naangalia station ya wachina hapa CCTV 5 .. hawa jamaa naelewa lugha yao.. basi commentators walianza kuponda arsenal... wakaanza kuhesabu wachezaji walioondoka.. muda unapozidi kwenda wanazidi kuwa wadogo.... hahahahaha ila naona wameamia kumponda gervinho...

P.S watu watajua lini Cesc aliikuta gooners , wameondoka key players before na gooners tuka move on!.....
Big Up Mkuu mimi namtafakari huyu CHAMAKH sipati jibu,nadhani huyu STOKE CITY anawafaa.
 
Wadau this difference in hrs mislead my tym calculation..... Thanx God that we r leading one - nil........
 
Back
Top Bottom