Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chamakh has been non existent kwenye hii mechi na hizi sub mlizolazimika kuzifanya nadhani zinawalimit sasa.

Ni bora tu amalizie hio sub ya mwisho kumtoa Chamakh na lolote liwe. Jamaa hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kumsaidia refa kukimbia kimbia.
 
this carl jenkinson is never a kid to trust.........kama tutafungwa i bet a goal will come from his side......qn is what will happen if sagna akiumia?????????

dogo simuamini kabisaa... Ni overrated na wenger
 
Tungekuwa tunacheza na timu nzuri kama Benfica sijui ingekuwaje tungekwishafungwa hadi saa hii.

Nahofia Liverpool Jumamosi.
 
Chamak alianza vizuri lakini sasa hana tofauti na Bendtner - just a waste of space bora tujue tu tunacheza tisa.
 
Chamakh has been non existent kwenye hii mechi na hizi sub mlizolazimika kuzifanya nadhani zinawalimit sasa.

Ni bora tu amalizie hio sub ya mwisho kumtoa Chamakh na lolote liwe. Jamaa hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kumsaidia refa kukimbia kimbia.


Ni rahisi kuona Chamakh hafanyi kitu, lakini ukiangalia vizuri utagundua kwamba hakuna mipira inyofika kwake kutoka kwa viungo, pasi ya mwisho hakuna au mbovu!
 
Ni rahisi kuona Chamakh hafanyi kitu, lakini ukiangalia vizuri utagundua kwamba hakuna mipira inyofika kwake kutoka kwa viungo, pasi ya mwisho hakuna au mbovu!

Lawama zetu zimetoakana na kutumia vibaya mipira michache aliyopata sio kutopata mipira.
 
Ni rahisi kuona Chamakh hafanyi kitu, lakini ukiangalia vizuri utagundua kwamba hakuna mipira inyofika kwake kutoka kwa viungo, pasi ya mwisho hakuna au mbovu!
Mkuu ata the few balls he got he squandered them.
 
Back
Top Bottom