hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,963
Sasa Flano hao jamaa Wana tofaut gan na weweHumu ndani ni computerarsenal tu na Labyrinth 84 peke yao ndio nyeupe husema nyeupe na nyeusi huiita nyeusi, ila wengine waliobaki wote nasubiri kwanza waone Mc Masingeli kasema nini halafu na wao wanashikilia mulemule alipokamatia Masingeli, humu ukienda kinyume tu na Masingeli unatishiwa mpaka maisha halafu unapigwa marufuku kumqoute
Wote walitangaza wamehama Arsenal ,mmoja PSG mwingine Newcastle
Ni mpuuz tu ndiye atawasikiliza Kama Arsenal fans
Hao na wewe lao moja ,kuponda Basi
Kiufundi Jana Kocha alikuwa anaangalia combination ya New Signing Wana copy vipi na wachezaji wasiku zote
Hilo jambo linaenda taratibu ,Sasa nyie danganyaneni mna timu ya ubingwa