Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa Flano hao jamaa Wana tofaut gan na wewe

Wote walitangaza wamehama Arsenal ,mmoja PSG mwingine Newcastle

Ni mpuuz tu ndiye atawasikiliza Kama Arsenal fans

Hao na wewe lao moja ,kuponda Basi


Kiufundi Jana Kocha alikuwa anaangalia combination ya New Signing Wana copy vipi na wachezaji wasiku zote

Hilo jambo linaenda taratibu ,Sasa nyie danganyaneni mna timu ya ubingwa
 
ila jana kinda la Academy Mainoo limekamata kiungo chote na kukiweka mfukoni, sijategemea jana jinsi sahani ghali ya ubwabwa duniani ya £105m kufichwa namna ile na katoto ka nursery.
Sio kweli ,kwa vile mlishinda mtaongea chochote

Kama ni kweli msisajili muende na huyo dogo ,
 
ila jana kinda la Academy Mainoo limekamata kiungo chote na kukiweka mfukoni, sijategemea jana jinsi sahani ghali ya ubwabwa duniani ya £105m kufichwa namna ile na katoto ka nursery.
Halafu nyie huwa pre season huwa mnashindaga mech zote ,hata martial mnasemaga ni Thierry Henry

Mwaka Jana mlibeba had kombe la pre season,
 
ila Masingeli unajua sana kuwafurahisha misukule ya Arteta kwa kweli kwa hizo false hopes zako.
Kikubwa sasa hivi nimefurahi jinsi unavyoanza kua matured, nilitegemea kwa kipigo cha jana wiki nzima hii utajipiga Ban mwenyewe.
Huu sasa ndio uanaume, kwenye shida na raha unasimama bega kwa bega na misukule wenzako, sio vile we unafanya kuwanao kwenye sherehe halafu unawakimbia kipindi cha maombolezo.
 
Flano wewe ni mwehu kinoma


Unajua malengo ya pre season kweli

Kwa mpira wa Jana Sion mkichukua hata point 1 kwetu
 
Manyumbu timu yenu imekamilika, ready for EPL na UCL.

Sancho anasimama CF, anasubiri ALABA, DIAZ au UPAMECANO afanye mistake ili ashinde.

Midfield mpo poa sanaaaaa, yule dogo wa jana anatosha plus makfledi.

Positive review kwenye mechi ya jana
 
Manyumbu timu yenu imekamilika, ready for EPL na UCL.

Sancho anasimama CF, anasubiri ALABA, DIAZ au UPAMECANO afanye mistake ili ashinde.

Midfield mpo poa sanaaaaa, yule dogo wa jana anatosha plus makfledi.

Positive review kwenye mechi ya jana
Yah waambiwe hivo wafurahie
 
Kama ulilijua ilo kwanini ulikubali kufanya prediction na mimi tena ukaweza ya goal 4 kwa bila mtazo tuchabanga


Kiko wapi Sasa yani Wenger orphans hata tulivyo wachalaza goal 3 kwenye ligi bado mkutaka kuamini.

Sasa mnataka tuwafunge wapi ili mjue sisi ni kiboko yenu Yani nishaga kwambia sisi hata tuamshwe saa 8 za usiku bila Kufanya zoezi lolote tupo na kausingizi tucheze na nyie dozi ipo pale pale.
 
Arsenal vs manjesta

hata iwe chandimu hamna Friendly matches lazima tuuane


Hawa kesho ni kupiga za kutosha
Ni Kwa Vile Tu Sheria Za Kukimbia Mechi Ni Kali.

Manchesta Leo Wangetukimbia Wasingekuja Uwanjani.Siyo Kwa Arsenal Hii Braza Hakuna Kocha Anayetamani Kukutana Na Arsenal..!View attachment 2695876
Leo msilete timu uwanjan
Aliyekwambia ni Friend mech Nani?

Leteni timu iliyokamilika tupimane ubavu kenge nyie

3+7 Hag on Manchester United’s “friendly” against Arsenal


“We don’t play friendly games.”
Muhind kawapa odd ngapi leo
Historia haitasaidia leo kukwepa kipigo


Kwasasa mnaingia Kama undrrdog
Mimi yangu

Manjesta 0 Arsenal 4
Sio mahaba ,mwenzio Chelsea tulimkaanga 4-0 mwaka Jana kipindi Cha kwanza tu

Yaani Tena hizo 4 nimeweka ni minimum sitashangaa zikifika 5


Manjesta timu yenu hii ya kina mount View attachment 2696112
Hakuna Raha Kama kuwafunga manjesta

Na msimu huu mtatuchangia points 6 ,

Leo Kuna 4-0


Muhind kawaweka Kama underdog asee
Sijapenda vile Masebene jana hajafunga, ila Rashidi nae ule mgoli wa wazi alioukosa sijui alikua ashaingiwa na roho ya huruma?
Jana ilipendeza tungemaliza hata pakti moja tu.
 
Hivi possession ilikuwa ngapi vile mkuu.
 
Usishangae ulitubetia mkuu upo zako unakunywa supu umewaponza wenzio kuwapa matumaini hewa.
 
Manyumbu timu yenu imekamilika, ready for EPL na UCL.

Sancho anasimama CF, anasubiri ALABA, DIAZ au UPAMECANO afanye mistake ili ashinde.

Midfield mpo poa sanaaaaa, yule dogo wa jana anatosha plus makfledi.

Positive review kwenye mechi ya jana
Kunywa kwanza maji mkuu taratibu.
 
Viungo vya Arsenyo jana Hio.
Msimu huu mpaka ligi inaisha tutajionea mengi sana.
 
So unataka kusema kulose 2 goals kwa Manchester United ni jambo la kawaida sababu ni pre season? hamis77 kubaliana na ukweli kuwa tumefungwa kihalali na penalties pia tumepigwa team haina kiwango cha kucompete kama unavyonenaga next game vs Barcelona na kuna Manchester City games hizi ni games za kuona tunaendaje kuanza msimu,mimi napenda sana games za kujipima vs Giants hapo ndipo utajua if we are ready or not na yesterday game ni kipimo halisi cha ubora wetu ,tumefungwa 2 na still penalties tumepigwa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…