HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Naamini mchezaji anaangalia kulinda mapato yake binafsi. Yeye kama mchezaji anaangalia pesa atazopata Kwa kazi yake ambayo ni kucheza mpira, lakini pia na mambo mengine yanayohusu yeye kama 'brand'. Mfano mshahara wake ni 100 Kwa wiki. Je akienda kwingine atapata hiyo 100 Kwa wiki vile vile au zaidi? Je atapata madili ya matangazo? Kufanya appearance mahali, au movie, nk. Je akiumia? Atakuwa chini ya uangalizi wa elite medical teams ama la? Hii inampa confidence kwamba akiumia atawahi kupona na kurudi uwanjani. Je kocha ni mzuri wa kumpeleka next level Ili aimarike na kukuza brand yake zaidi na kupelekea kupata pesa zaidi?Kama mshahara wake utapungua kwenye club mpya, je kuna mahali watasubsidize? Na mambo mengine kama hayoSasa inakuaje mchezaji anakua amebakiza mwaka mmoja halafu anauzwa timu nyingine kwa mkataba wa miaka4 bila ya kupewa chochote kwenye mauzo yake?
Yaani hapo anakua ameongezewa miaka 3 tena mbele.
Ndio maana Waswahili kama Mbappe wanataka kutegea kwanza mkataba uishe ili akarambe pesa ya mkataba mwingine.




NEW: Al-Hilal are offering Kylian Mbappe a €400m contract, with a €200m fee to PSG. In this deal, the Saudi club would let Mbappe join Real Madrid in 2024. @FabriceHawkins

