Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa inakuaje mchezaji anakua amebakiza mwaka mmoja halafu anauzwa timu nyingine kwa mkataba wa miaka4 bila ya kupewa chochote kwenye mauzo yake?
Yaani hapo anakua ameongezewa miaka 3 tena mbele.
Ndio maana Waswahili kama Mbappe wanataka kutegea kwanza mkataba uishe ili akarambe pesa ya mkataba mwingine.
Naamini mchezaji anaangalia kulinda mapato yake binafsi. Yeye kama mchezaji anaangalia pesa atazopata Kwa kazi yake ambayo ni kucheza mpira, lakini pia na mambo mengine yanayohusu yeye kama 'brand'. Mfano mshahara wake ni 100 Kwa wiki. Je akienda kwingine atapata hiyo 100 Kwa wiki vile vile au zaidi? Je atapata madili ya matangazo? Kufanya appearance mahali, au movie, nk. Je akiumia? Atakuwa chini ya uangalizi wa elite medical teams ama la? Hii inampa confidence kwamba akiumia atawahi kupona na kurudi uwanjani. Je kocha ni mzuri wa kumpeleka next level Ili aimarike na kukuza brand yake zaidi na kupelekea kupata pesa zaidi?Kama mshahara wake utapungua kwenye club mpya, je kuna mahali watasubsidize? Na mambo mengine kama hayo
 
Tulikuwa tunamlipa Ozil £350k per week anakaa bench , Auba £350k per week anakaa bench na muda huo hatupo UCL, Manjesta mkifanya hivi tu Adidas wanawakataga pesa na mnawapunguziaga wachezaji mishahara 25%



Braza this is Arsenal ,Bank of England ilikuwa inafahamika hivo baada ya dharau tumerudi

Mlisema Rice ataenda City ,hatuna hela ,Bayern akakimbia ,City akatupa taulo


Habari mbaya ni kwamba hatuna habari nzuri kwa ajili yenu

Good morning View attachment 2695930
Kama akija basi akae kwa kutulia, mambo ya kujifanya mkubwa kuliko club hatuyataki
 
Duh Saudia

NEW: Al-Hilal are offering Kylian Mbappe a €400m contract, with a €200m fee to PSG. In this deal, the Saudi club would let Mbappe join Real Madrid in 2024. @FabriceHawkins
 
Unaweza kuta na hapa asikuelewe bado.

Au unaweza kuta anamuelewa mchizi Kama mchambuzi nguli humu jf, Sasa anatafuta umaarufu tu

Nimemuelewa jamaa sita quote chochote, kwamba nimuelewe mchizi kama nguli wa kuchambua humu jf huyu huyu rice alivyokuwa westham anasema ni mvunja kuni lakini kaenda arsenal uvunja kuni umepotea , mudryk anaitwa new neymar then kaenda chelsea anakuambia mudryk garasa hakuna mchambuzi anaweza kuwa na akili za kusema ivyoo, umaarufu utafutweJF, kweli ni akili ndogo zinaweza kuwaza hivyo.

Anyway false hope tutaendelea kuzikataa humu na spana tutazipiga akili ikae sawa
 
Duh Saudia

NEW: Al-Hilal are offering Kylian Mbappe a €400m contract, with a €200m fee to PSG. In this deal, the Saudi club would let Mbappe join Real Madrid in 2024. @FabriceHawkins
wanatuharibia mpira hawa vibwengo
 
Manjesta hapana wapo under limited budget

Liverpool hawa hata mchezaji wa £50m wale wamiliki wao wamekuwa wazito kutoa ,Sera yao uza nunua

Mancity ,may be ,ila Pep sio mpenzi wa wachezaj wenye ego Kama mbappe
Naona Newcastle. Wana Hela
 
Manjesta hapana wapo under limited budget

Liverpool hawa hata mchezaji wa £50m wale wamiliki wao wamekuwa wazito kutoa ,Sera yao uza nunua

Mancity ,may be ,ila Pep sio mpenzi wa wachezaj wenye ego Kama mbappe
Mpaka dirisha linafungwa shika hii kauli sisi tutatumia pesa nyingi za usajili kuliko nyinyi tunza hii comment.
 
Mpaka dirisha linafungwa shika hii kauli sisi tutatumia pesa nyingi za usajili kuliko nyinyi tunza hii comment.
Inawezekana maana Grazzer mwisho wa dirisha la usajili huwa wanapenda kucheza na akili zenu ili msahahu kampeni za kuwaondoa

Sisi tutatumia mwisho £250m Basi hatuvuki hapo
 
Mkishinda itakuwa habari Tukishinda haitakuwa habari
Sisi sio habari maana auna record ya kutufunga hata goal 4 toka Wenger awe coach wenu kama Kuna mechi toka Wenger aanze kazi mmewai tupiga hata goal 4 Njoo nayo hapa.

Nyinyi ni vibonde wetu tu ushindi wenu mkubwa ni kuanzia goal 3 kushuka chini napo lazima mechi iishe na sisi tumecheka na nyavu zenu.

Leta hata record kama hii Wenger orphans nyinyi.
1689476232207.jpg
 
Sisi sio habari maana auna record ya kutufunga hata goal 4 toka Wenger awe coach wenu kama Kuna mechi toka Wenger aanze kazi mmewai tupiga hata goal 4 Njoo nayo hapa.

Nyinyi ni vibonde wetu tu ushindi wenu mkubwa ni kuanzia goal 3 kushuka chini napo lazima mechi iishe na sisi tumecheka na nyavu zenu.

Leta hata record kama hii Wenger orphans nyinyi.View attachment 2696081
Sasa wewe subiri leo tutakachowafanya , kwasasa mnaingia kucheza na sisi Kama underdog


Hata makampuni ya kubashiri yamewachukulia Kama underdog


Ndio maana nasema mkishinda itakuwa habari , Tukishinda haitakuwa habari


Miaka ya Sasa nyie mmekuwa underdog
 
Kwanza niletee orodha ya timu zinazo ongoza kukutandika kwenye career yenu ya football tuione hapa ni nani mbabe wenu.
Historia haitasaidia leo kukwepa kipigo

Kwasasa mnaingia Kama undrrdog
 
Back
Top Bottom