Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

unaambiwa jana mpaka Magwaya alikua anapiga midfielder, anakusanya kijiji halafu anapanda nacho juu.

Kwa hii Asenyo ya msimu huu mpewe tu makombe yenu mapema kabla hata ligi hazijaanza.
Yaan flano unafurahia mech ya kirafiki ,tunajua mlikamia mkataka kuvunja wachezaji wetu ,Hilo tuliliona

Hivi Jana tungeshinda simngejiona wabovu Sana


Kwasasa hivi mtamuona 7hag bonge la kocha , mtaona mmepiga mpira mkubwa
 
Punguza wenge basi mkuu, goli mbili tu tena mechi yenyewe ni ya kirafiki tu inakufanya unapagawa mpaka unashindwa kusoma comments vizuri?
Mashabiki wa Asaninyau kina Mc Masingeli ndio walikua wanatamba kua msimu huu Arsenongwa wana points zao 6 kwa nyumbu, mimi hapo ndio nimewakumbusha kua points zao 6 kwa nyumbu bado ziko palepale sasa wewe hapo hujaelewa nini?
Mimi Sina wasiwasi na points 6 kutoka kwenu

Swala la points 6 kwenu msimu huu Sion tukizikosa

Timu yenu bado Sana , tumewazawadia magoli ambayo haya movement yoyote mmeshadanganyana Graza abaki, 7hag bonge la kocha, ubingwa wenu
 
Yaan flano unafurahia mech ya kirafiki ,tunajua mlikamia mkataka kuvunja wachezaji wetu ,Hilo tuliliona

Hivi Jana tungeshinda simngejiona wabovu Sana


Kwasasa hivi mtamuona 7hag bonge la kocha , mtaona mmepiga mpira mkubwa
Tumefungwa sababu wametuzidi tumpe credit nyumbu next game vs Barcelona ni kipimo kikubwa pia tukilose na hiyo tujiandae kwa mateso kwenye champions league and EPL!tulimfunga Chelsea 4 last season kwenye friendly na ukaona last season yake ilikuwaje!
 
Tumefungwa sababu wametuzidi tumpe credit nyumbu next game vs Barcelona ni kipimo kikubwa pia tukilose na hiyo tujiandae kwa mateso kwenye champions league and EPL!tulimfunga Chelsea 4 last season kwenye friendly na ukaona last season yake ilikuwaje!
Kwa mpira upi nyumbu alituzidi

Kuna mwaka wa kina Henry walipigika pre season mech zote ,Ligi wakachukua ubingwa

Pre season ni mech za kuangalia chemistry ipi inakubali ,kutafuta fitness za wachezaji

Kama Jana walianza wachezaji wote wapya watatu ambao hawajawahi kucheza pamoja
 
Mc Masingeli naona umeamka na hangover.
Nilikua nawakumbusha kua points zenu 6 kwenye ligi bado ziko palepale.
Man Utd ni timu mbovu haiwezi chukua hata 1 toka kwa timu kubwa kama Asenyo.
Bado huna timu yakuchukua point hata 1, bado mna mpira ule ule wakuvizia

Jana tulikuwa tunatafuta chemistry ya wachezaji wetu watatu wapya ,

Tunajua nyie mlikamia hata kocha wenu alisema , tunaona mnataka kuvunja saka ,ode

Magwaya sijui anataka kurudisha namba yake
 
Tumefungwa sababu wametuzidi tumpe credit nyumbu next game vs Barcelona ni kipimo kikubwa pia tukilose na hiyo tujiandae kwa mateso kwenye champions league and EPL!tulimfunga Chelsea 4 last season kwenye friendly na ukaona last season yake ilikuwaje!
Yaan ukifungwa pre season bas kwa Ligi ndio Basi ? Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo, kutafuta fitness ,kuwapa nafas sajili mpya wajuane

2018 Liverpool hakushinda mech hata moja ya pre season ,kwenye EPL alifungwa mech 1 tu ,

Mech Kama ya Jana pale kocha anatoka na kitu anajua Nan na Nan wakianza kunatokea positive ,
 
Tumefungwa sababu wametuzidi tumpe credit nyumbu next game vs Barcelona ni kipimo kikubwa pia tukilose na hiyo tujiandae kwa mateso kwenye champions league and EPL!tulimfunga Chelsea 4 last season kwenye friendly na ukaona last season yake ilikuwaje!
Ww mzee unaongea ukweli ila baadhi ya mashabiki hawajielewi humu kile kipimo tosha kabisa kujua ubovu wa timu ulipo
 
Bado huna timu yakuchukua point hata 1, bado mna mpira ule ule wakuvizia

Jana tulikuwa tunatafuta chemistry ya wachezaji wetu watatu wapya ,

Tunajua nyie mlikamia hata kocha wenu alisema , tunaona mnataka kuvunja saka ,ode

Magwaya sijui anataka kurudisha namba yake
Magwaya kumbe ni bonge la mchezaji halafu lina mikimbio mizuri.
Makocha wetu tu ndio walikua hawajui nafasi ya kumchezesha, kuanzia mechi ijayo Magwaya anasimama CF kuchukua mikoba Weghost.
 
Yaan ukifungwa pre season bas kwa Ligi ndio Basi ? Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo, kutafuta fitness ,kuwapa nafas sajili mpya wajuane

2018 Liverpool hakushinda mech hata moja ya pre season ,kwenye EPL alifungwa mech 1 tu ,

Mech Kama ya Jana pale kocha anatoka na kitu anajua Nan na Nan wakianza kunatokea positive ,
Juzi mlivyowafunga Kigoma all stars(MLS) goli 5 mlikua mnashangilia tu humu na kuwakubehi Nyumbu, ila jana baada ya nyumbu kuwagonga goli 2 leo ndio unakuja na story za Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo
Mc Masingeli muogope Mungu ndugu yangu kwa kuendelea kuwahadaa hawa mayatima wa mzee Wenger, hio ni dhima ujue siku ya kiama utakuja kuulizwa shauri yako.
 
Ww mzee unaongea ukweli ila baadhi ya mashabiki hawajielewi humu kile kipimo tosha kabisa kujua ubovu wa timu ulipo
Humu ndani ni computerarsenal tu na Labyrinth 84 peke yao ndio nyeupe husema nyeupe na nyeusi huiita nyeusi, ila wengine waliobaki wote wanasubiri kwanza waone Mc Masingeli kasema nini halafu na wao wanashikilia mulemule alipokamatia Masingeli, humu ukienda kinyume tu na Masingeli unatishiwa mpaka maisha halafu unapigwa marufuku kumqoute
 
Humu ndani ni computerarsenal tu na Labyrinth 84 peke yao ndio nyeupe husema nyeupe na nyeusi huiita nyeusi, ila wengine waliobaki wote nasubiri kwanza waone Mc Masingeli kasema nini halafu na wao wanashikilia mulemule alipokamatia Masingeli, humu ukienda kinyume tu na Masingeli unatishiwa mpaka maisha halafu unapigwa marufuku kumqoute
Hao wanatofaut gan na wewe ,wanatokea timu ikipoteza na kwenye negativity tu

Ni mpumbavu pekee ndio atawasikiliza
 
Juzi mlivyowafunga Kigoma all stars(MLS) goli 5 mlikua mnashangilia tu humu na kuwakubehi Nyumbu, ila jana baada ya nyumbu kuwagonga goli 2 leo ndio unakuja na story za Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo
Mc Masingeli muogope Mungu ndugu yangu kwa kuendelea kuwahadaa hawa mayatima wa mzee Wenger, hio ni dhima ujue siku ya kiama utakuja kuulizwa shauri yako.
Sikia , jana tumeweka wachezaji watatu ambao hawajawahi kucheza pamoja

Kwan malengo ya pre season ni Nini

Kwahiyo unataka kusema manjesta mna timu ya ubingwa tayari
 
Tumefungwa sababu wametuzidi tumpe credit nyumbu next game vs Barcelona ni kipimo kikubwa pia tukilose na hiyo tujiandae kwa mateso kwenye champions league and EPL!tulimfunga Chelsea 4 last season kwenye friendly na ukaona last season yake ilikuwaje!
Mzee nakufatiliaga sana nakuonaga una upeo mkubwa kwenye kuuzungumzia mpira ila nimepata mashaka na huu mtizamo wako, kuhusu game za kirafiki kua kipimo kwenye mechi za kiushindani.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Magwaya kumbe ni bonge la mchezaji halafu lina mikimbio mizuri.
Makocha wetu tu ndio walikua hawajui nafasi ya kumchezesha, kuanzia mechi ijayo Magwaya anasimama CF kuchukua mikoba Weghost.
Magwaya mwehu yule anataka kuvunja wachezaji wetu

Timu yenu bado ila matokeo ya Jana yasiwadanganye ,bado hamuwez kukaa na mpira

Kama mnarudi na mpira ule siwaoni top 4
 
Back
Top Bottom