Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Naamka muda huu hata penalties pia tumepigwa?ohhhhh kweli nyumbu kapiga kila sehemu ya mshono


unaambiwa jana mpaka Magwaya alikua anapiga midfielder, anakusanya kijiji halafu anapanda nacho juu. Kwa hii Asenyo ya msimu huu mpewe tu makombe yenu mapema kabla hata ligi hazijaanza.
