sio kwamba tunamshambulia. Tunamuongelea yeye mana ndio huwa anatufungaga kamba kila siku, kuwa Arse888 ni shallon soccer ya EPL na dunia nzima. Ifike mahali na nyie kondoo muamke usingizini sio kila siku tu awaburuze.Wewe ni mnafiki sio shabiki wa arsenal,haiwezekani arsenal apoteze mechi uje kwa furahaa na kuanza kumshambulia Hamisi,ungejipambanua uko timu ghani tukujue,badala ya kufanya analysis ya mechi umekurupuka kuja kushambulia watu,unaelezea moyo wako kwenye maandishi yako
Hahaaa karibu mkuu hapa kama maji tu.hamiss77 piga spana hizi kuku za maji za man usio kwamba tunamshambulia. Tunamuongelea yeye mana ndio huwa anatufungaga kamba kila siku, kuwa Arse888 ni shallon soccer ya EPL na dunia nzima. Ifike mahali na nyie kondoo muamke usingizini sio kila siku tu awaburuze.
Arse88 sio timu mbovu ila pia sio timu kaaali kama anavyowaaminisha nyie kondoo kuwa hakuna timu wa kuifunga
Arse88 hapo tu ndiko anakosea.
Ku-press,ku-overload na ku-invert beki kuwa kiungo na kiungo kuwa forward aisee VIKAO FC
Sasa wakati mnafanya hivyo mnafikiri timu pinzani wachezaji wanakua wamesinzia au wako pungufu.
Arsenal haina tofauti na Ze komedi,futuhi,mizengwe kama baiskeli ya kunolea visu tu kelele nyingi lakini ipo pale pale
#Tukutane May
#Arsenal ni ile ile
View attachment 2696904






Asenyege wanahs wapo peke yao uwanjan. Wanahs n shadowboxing hii.Nafikiri Arteta anawakati mgumu huko...
Anavyotaka kumtumia kai na rahisi kwa pamoja ilikuthibitishia bodi kwanini ametumia mamilioni kwao ndio atakuwa anakula fainiii
Inavyoashiria sasa Gabriel na ramzidaleee wachomaji wapya wa kudumu
Mechi zilizobakia zinaweza kumvuruga arteta na kikosi kwakuwa akikosa matokeo atapaniki kama mwaka 2020/21 kila mechi itakuwa na kikosi kipya halafu matokeo yaleyale...
Usajili wa makaratasini mtamuu huo kama kuongea kiingereza kimya kimya unakuwa hukoseikimbembe ukianza kutoa sauti sasa sawa timu ikianza kucheza uwanjani baada ya usajili
...
Msimu huu kwa arteta kuna uwezekano utakuwa mgumu kama 20/21 endapo sajili alizofanya akishindwa kuziunganisha vizuri(akilazimishia mambo)
Patei huko aongezewe ulinzitabu ipo pale pale
![]()

Kwamba!?Time will tell
Juzi mlivyowafunga Kigoma all stars(MLS) goli 5 mlikua mnashangilia tu humu na kuwakubehi Nyumbu, ila jana baada ya nyumbu kuwagonga goli 2 leo ndio unakuja na story za Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo
Mc Masingeli muogope Mungu ndugu yangu kwa kuendelea kuwahadaa hawa mayatima wa mzee Wenger, hio ni dhima ujue siku ya kiama utakuja kuulizwa shauri yako.
Yes games za Barcelona and Manchester City (hasa huyu maana tumefungwa na pep mfululizo nahisi kati ya games 12 vs PEP tumeshinda moja pekee)huyu tukimpiga na tukabeba community shield team itakuwa na confidence ya kutosha sanaVs game na Barca nitakustua mkuu
Tuombe uhai![]()
Pia inawezekana ukawa ni new member humu last season nilishawahi kumuonya Hamis games za Liverpool Manchester City Brighton na ukitaka ushahidi humu upo utatutafuta utauona mimi huwa ni Msema kweli Daima kuwa kwa sisi ambao tumecheza footballWewe ni mnafiki sio shabiki wa arsenal,haiwezekani arsenal apoteze mechi uje kwa furahaa na kuanza kumshambulia Hamisi,ungejipambanua uko timu ghani tukujue,badala ya kufanya analysis ya mechi umekurupuka kuja kushambulia watu,unaelezea moyo wako kwenye maandishi yako
️ huwa inaongelewa kwenye pitch na sio kwenye karatasi na results aliziona akapotea miezi 2 humu!so ukisema unamtetea Hamis mteteee tu Ruksa but ukweli unafahamikaUsajiri Jambo moja kuzoeana Jambo lingineYes games za Barcelona and Manchester City (hasa huyu maana tumefungwa na pep mfululizo nahisi kati ya games 12 vs PEP tumeshinda moja pekee)huyu tukimpiga na tukabeba community shield team itakuwa na confidence ya kutosha sana
Hapo ndo huwa namshangaa huyu jamaa Hamis.
Baada ya kuwafunga MLS All stars, akaleta hadi head to head ya hiyo timu(MLS) na timu zingine za Ulaya miaka ya nyuma ila ku justify wao ni bora. Kabla ya mechi umetamba kinoma, baada ya kufungwa unaanza ngonjera na taarab.
Ujinga ni kudhani kwamba Arteta ana akili na anajua mpira kuliko makocha wengine pale EPL. Pengine ndio anachofikiria Hamis.
FACT ukiangalia squad yetu sio mbaya tatizo kubwa naloliona ni FOCUS na huwa inatokea kwenye baadhi ya games for almost 4 years in a row hili limekua ni tatizo kubwa sijui ni kwa nini hasa kwenye Mid ,Defence na Goalkeeper kuhusu forwards zetu sina shaka nazo kabisa kabisa mf Gabriel Ramsdale Zenny White Partey hawa ni 11st eleven wetu ila concentration huwa ni tatizo tusipotibu hili tatizo hata kwa formation tofauti yatajirudia yale yale!Usajiri Jambo moja kuzoeana Jambo lingine
Kuna chemistry inabidi ikae sawa pale Kati for batter performance
Ndio maana fans wengi hadi legends wetu hawakupendezwa habari za partey kuondoa msimu huu. Yani tungekua Kama tunaanza upya
Kiungo: rice, ode na partey
Hapo kazi ni rice kuwazoea movements za hao wawili
Forward : Jesus, saka na martinel
Kai ni kilaka akitokea sub aingie Kama forward au sehemu ya ode/rice
Joginho sub ya partey
Hapo tuna trossad ambaye ni mzuri na mifumo ameshazoea,
Muweke winger au midfield
Nelson yupo vizuri as backup ya saka
Rowe amekuja na energy kubwa Sana
Hadi hapo Barca tukiamua kutafuta matokeo tunayapata
Wewe mbona unatokwa povu SanaNi ujinga huu huu ulimfanya Hamis ajiaminishe kwamba wakienda Anfield watampiga Liverpool endapo akicheza mpira wa kupishana nao, mwisho wa siku mkaambulia sare.
Ni ujinga huu huu ulimfanya Hamis atambe kwamba wakienda Etihad watampiga Man city afu watangaze ubingwa, kilichotokea almanusura wapigwe 6 au 7.
Hatukatai kwamba Arsenal ni bora, lkn hiyo haizuii timu nyingine kuwa bora.
Arteta kuwa kocha mzuri au kuwa na mbinu nzuri haiwafanyi makocha wengine wasiwe na mbinu.
These are two independent events
Sasa MC Masingeli anazunguka majukwaa yote kukebehi makocha wengine![]()
Huu ujinga mnajidanganya mna timu ,tupo hapaRICE COOKER.
View attachment 2697003