So unataka kusema kulose 2 goals kwa Manchester United ni jambo la kawaida sababu ni pre season? hamis77 kubaliana na ukweli kuwa tumefungwa kihalali na penalties pia tumepigwa team haina kiwango cha kucompete kama unavyonenaga next game vs Barcelona na kuna Manchester City games hizi ni games za kuona tunaendaje kuanza msimu,mimi napenda sana games za kujipima vs Giants hapo ndipo utajua if we are ready or not na yesterday game ni kipimo halisi cha ubora wetu ,tumefungwa 2 na still penalties tumepigwa piaYaan ukifungwa pre season bas kwa Ligi ndio Basi ? Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo, kutafuta fitness ,kuwapa nafas sajili mpya wajuane
2018 Liverpool hakushinda mech hata moja ya pre season ,kwenye EPL alifungwa mech 1 tu ,
Mech Kama ya Jana pale kocha anatoka na kitu anajua Nan na Nan wakianza kunatokea positive ,
Uliwahi kupotea humu JF from April to June unajua hamis77 problem kubwa uliyonayo ni kuchanganya footballHao wanatofaut gan na wewe ,wanatokea timu ikipoteza na kwenye negativity tu
Ni mpumbavu pekee ndio atawasikiliza
️ vs Mahaba hili ndio tatizo lako kubwa siku ukitenganisha hivi vitu utakuwa hukimbii JF siku mambo yakiwa magumu una mahaba mazito na Arsenal that's why huwa logic zako zinachekesha sisi huwa muda wote tupo ni mfano uniambie Arsenal season hii atabeba EPL na Champion
league ni jambo ambalo haiwezekani but sababu tunaipenda Arsenal for more than 27 years tutaendelea kuangalia mpira wao I repeat siku ukipunguza mahaba mazito na ukawa na jicho la 3 hautateseka abadaniKama sio kipimo USAMzee nakufatiliaga sana nakuonaga una upeo mkubwa kwenye kuuzungumzia mpira ila nimepata mashaka na huu mtizamo wako, kuhusu game za kirafiki kua kipimo kwenye mechi za kiushindani.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wameenda kufanya nini Mkuu?inawezekana ikawa sio kipimo halisi kama unavyosema but pale unapofungwa na rival kama Manchester United inatia shaka kidogo licha results za mpira ndivyo zilivyo that's why nikasema tuna games vs Barcelona na Manchester City ambazo ni kipimo halisi before next season haijaanzaSijapenda vile Masebene jana hajafunga, ila Rashidi nae ule mgoli wa wazi alioukosa sijui alikua ashaingiwa na roho ya huruma?
Jana ilipendeza tungemaliza hata pakti moja tu.







Flano usunivunje mbavu zanguTumepigwa 2 kwa zero na penalties tumelose what does it mean?yes ni friendly game but pia ndio inatakiwa userious uonekane hapo Ramsdale kwa penalties ni paka na panya kiujumla tumezidiwa na bado team haijakamilika August 6 vs Manchester City kwa squad hii unaona tutatoboa?even kwenye EPL and champions league?OK let's wait and see na problem ya baadhi ya fans ni kujiona wao football️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu






Yaan flano unafurahia mech ya kirafiki ,tunajua mlikamia mkataka kuvunja wachezaji wetu ,Hilo tuliliona
Hivi Jana tungeshinda simngejiona wabovu Sana
Kwasasa hivi mtamuona 7hag bonge la kocha , mtaona mmepiga mpira mkubwa
Kwahiyo mnaenda kubeba ubingwaInshi siyo bonge la kocha. Inshu ni ushindi wa goli mbili bila. Pamoja na tambo zako zile mbona umejinywea.

Nyie nafasi ya 10 inawahusu msimu huuTimu la wapiga NYETO
😂😂😂Hawa watadanganyika Wana timu kumbe mtego huu
Nilikuambia Rice hawezi kucheza lone DM, ukabisha. Umejionea sasa uchochoro uliopo.Yah nimeona , Kuna chemistry nimeona inabidi waanze Partey na Rice kwa timu za kaunta Kama nyumbu ,
Time will tell
Tuna mechi na Madrid hizo ndiyo timu za kujipima nazo siyo Arsenyani.
Yaan mech ya Jana ambayo magoli ni individual error ndio unaongea hiviNilikuambia Rice hawezi kucheza lone DM, ukabisha. Umejionea sasa uchochoro uliopo.
Kutibu tatizo lenu la mid ni lazima Havertz awe shabiki tu (bench) Partey, Rice, Ødegaard ndiyo tiba ya tatizo lenu.
Ndiyo maana mpaka leo sielewi Arteta alikuwa anawaza nini kumnunua Havertz kwa £65m.
Tatizo lingine ni defence yenu yote mpaka kipa. Mkiambiwa mnabisha, Arsenal mmejaza tu watu na siyo quality.
Arsenal ni wachezaji wa 4 tu: Saka, Ødegaard, Rice, Timber. Wengine wanawapotezea muda tu.
Ndio maana ya Pre season, kulikuwa na wachezaji watatu hawajawahi kucheza pamoja ,arteta inabidi ligi ikianza.. awa wachezaji wapya aliowasajili.. awaingize tartibu kwnye timu.. kikosi kitachoanza kwa asilimia kubwa ni vema kikawa kile kilichomaliza msimu uliopita.. eneo la xhaka sidhani kama kai linamafaa ila kwa white ;timber akipata games nyingi ata fit vizuri.
CF za arsenal bdo sna kuzitgemea.. ni eneo ambalo inabidi aje mtu kweli na sio hao kina jesus n nketiah.. nawaona zaidi ni kama wingers tu na sio watu wakusimama pale mbele!
Wewe ni mnafiki sio shabiki wa arsenal,haiwezekani arsenal apoteze mechi uje kwa furahaa na kuanza kumshambulia Hamisi,ungejipambanua uko timu ghani tukujue,badala ya kufanya analysis ya mechi umekurupuka kuja kushambulia watu,unaelezea moyo wako kwenye maandishi yakoUliwahi kupotea humu JF from April to June unajua hamis77 problem kubwa uliyonayo ni kuchanganya football️ vs Mahaba hili ndio tatizo lako kubwa siku ukitenganisha hivi vitu utakuwa hukimbii JF siku mambo yakiwa magumu una mahaba mazito na Arsenal that's why huwa logic zako zinachekesha sisi huwa muda wote tupo ni mfano uniambie Arsenal season hii atabeba EPL na Champion
league ni jambo ambalo haiwezekani but sababu tunaipenda Arsenal for more than 27 years tutaendelea kuangalia mpira wao I repeat siku ukipunguza mahaba mazito na ukawa na jicho la 3 hautateseka abadani
Jana ulisema hii sio friendly game ni vita na ukanena kuwa Odds nyingi kapewa Manchester United na ukanena Arsenal 4 -0 Manchester United Full Time sasa nani ni mpumbavu kati ya sisi na wewe kama ulivyouita?that's why nasema Mahaba yanakupoteza punguza hilo tu