Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Viungo vya Arsenyo jana Hio.
Msimu huu mpaka ligi inaisha tutajionea mengi sana.
1690098682086.jpg
1690098719768.jpg
 
Yaan ukifungwa pre season bas kwa Ligi ndio Basi ? Pre season ni sehemu ya ku implement mifumo, kutafuta fitness ,kuwapa nafas sajili mpya wajuane

2018 Liverpool hakushinda mech hata moja ya pre season ,kwenye EPL alifungwa mech 1 tu ,

Mech Kama ya Jana pale kocha anatoka na kitu anajua Nan na Nan wakianza kunatokea positive ,
So unataka kusema kulose 2 goals kwa Manchester United ni jambo la kawaida sababu ni pre season? hamis77 kubaliana na ukweli kuwa tumefungwa kihalali na penalties pia tumepigwa team haina kiwango cha kucompete kama unavyonenaga next game vs Barcelona na kuna Manchester City games hizi ni games za kuona tunaendaje kuanza msimu,mimi napenda sana games za kujipima vs Giants hapo ndipo utajua if we are ready or not na yesterday game ni kipimo halisi cha ubora wetu ,tumefungwa 2 na still penalties tumepigwa pia
 
Hao wanatofaut gan na wewe ,wanatokea timu ikipoteza na kwenye negativity tu

Ni mpumbavu pekee ndio atawasikiliza
Uliwahi kupotea humu JF from April to June unajua hamis77 problem kubwa uliyonayo ni kuchanganya football ️ vs Mahaba hili ndio tatizo lako kubwa siku ukitenganisha hivi vitu utakuwa hukimbii JF siku mambo yakiwa magumu una mahaba mazito na Arsenal that's why huwa logic zako zinachekesha sisi huwa muda wote tupo ni mfano uniambie Arsenal season hii atabeba EPL na Champion league ni jambo ambalo haiwezekani but sababu tunaipenda Arsenal for more than 27 years tutaendelea kuangalia mpira wao I repeat siku ukipunguza mahaba mazito na ukawa na jicho la 3 hautateseka abadani

Jana ulisema hii sio friendly game ni vita na ukanena kuwa Odds nyingi kapewa Manchester United na ukanena Arsenal 4 -0 Manchester United Full Time sasa nani ni mpumbavu kati ya sisi na wewe kama ulivyouita?that's why nasema Mahaba yanakupoteza punguza hilo tu
 
Mzee nakufatiliaga sana nakuonaga una upeo mkubwa kwenye kuuzungumzia mpira ila nimepata mashaka na huu mtizamo wako, kuhusu game za kirafiki kua kipimo kwenye mechi za kiushindani.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama sio kipimo USA wameenda kufanya nini Mkuu?inawezekana ikawa sio kipimo halisi kama unavyosema but pale unapofungwa na rival kama Manchester United inatia shaka kidogo licha results za mpira ndivyo zilivyo that's why nikasema tuna games vs Barcelona na Manchester City ambazo ni kipimo halisi before next season haijaanza
 
Tumepigwa 2 kwa zero na penalties tumelose what does it mean?yes ni friendly game but pia ndio inatakiwa userious uonekane hapo Ramsdale kwa penalties ni paka na panya kiujumla tumezidiwa na bado team haijakamilika August 6 vs Manchester City kwa squad hii unaona tutatoboa?even kwenye EPL and champions league?OK let's wait and see na problem ya baadhi ya fans ni kujiona wao football ️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu

Hii ilikuwa fulendli mechi arsenal mpo juu. Leo sijamuona hamisi mzee wa kuconvert midle kuwa backline na bacline kuwa fowadiii
 
Yaan flano unafurahia mech ya kirafiki ,tunajua mlikamia mkataka kuvunja wachezaji wetu ,Hilo tuliliona

Hivi Jana tungeshinda simngejiona wabovu Sana


Kwasasa hivi mtamuona 7hag bonge la kocha , mtaona mmepiga mpira mkubwa

Inshi siyo bonge la kocha. Inshu ni ushindi wa goli mbili bila. Pamoja na tambo zako zile mbona umejinywea.
 
arteta inabidi ligi ikianza.. awa wachezaji wapya aliowasajili.. awaingize tartibu kwnye timu.. kikosi kitachoanza kwa asilimia kubwa ni vema kikawa kile kilichomaliza msimu uliopita.. eneo la xhaka sidhani kama kai linamfaa ila kwa white ;timber akipata games nyingi ata fit vizuri.

CF za arsenal bdo sna kuzitgemea.. ni eneo ambalo inabidi aje mtu kweli na sio hao kina jesus n nketiah.. nawaona zaidi ni kama wingers tu na sio watu wakusimama pale mbele!
 
Yah nimeona , Kuna chemistry nimeona inabidi waanze Partey na Rice kwa timu za kaunta Kama nyumbu ,
Nilikuambia Rice hawezi kucheza lone DM, ukabisha. Umejionea sasa uchochoro uliopo.

Kutibu tatizo lenu la mid ni lazima Havertz awe shabiki tu (bench) Partey, Rice, Ødegaard ndiyo tiba ya tatizo lenu.

Ndiyo maana mpaka leo sielewi Arteta alikuwa anawaza nini kumnunua Havertz kwa £65m.

Tatizo lingine ni defence yenu yote mpaka kipa. Mkiambiwa mnabisha, Arsenal mmejaza tu watu na siyo quality.

Arsenal ni wachezaji wa 4 tu: Saka, Ødegaard, Rice, Timber. Wengine wanawapotezea muda tu.
 
Nilikuambia Rice hawezi kucheza lone DM, ukabisha. Umejionea sasa uchochoro uliopo.

Kutibu tatizo lenu la mid ni lazima Havertz awe shabiki tu (bench) Partey, Rice, Ødegaard ndiyo tiba ya tatizo lenu.

Ndiyo maana mpaka leo sielewi Arteta alikuwa anawaza nini kumnunua Havertz kwa £65m.

Tatizo lingine ni defence yenu yote mpaka kipa. Mkiambiwa mnabisha, Arsenal mmejaza tu watu na siyo quality.

Arsenal ni wachezaji wa 4 tu: Saka, Ødegaard, Rice, Timber. Wengine wanawapotezea muda tu.
Yaan mech ya Jana ambayo magoli ni individual error ndio unaongea hivi

Hiyo mech sisi tumeitumia kutafuta uwiano wa wachezaj wapya Kuzoena na wazaman

Lone DM ndio mfumo wetu na tumeutumia huo na tutautumia huo
 
arteta inabidi ligi ikianza.. awa wachezaji wapya aliowasajili.. awaingize tartibu kwnye timu.. kikosi kitachoanza kwa asilimia kubwa ni vema kikawa kile kilichomaliza msimu uliopita.. eneo la xhaka sidhani kama kai linamafaa ila kwa white ;timber akipata games nyingi ata fit vizuri.

CF za arsenal bdo sna kuzitgemea.. ni eneo ambalo inabidi aje mtu kweli na sio hao kina jesus n nketiah.. nawaona zaidi ni kama wingers tu na sio watu wakusimama pale mbele!
Ndio maana ya Pre season, kulikuwa na wachezaji watatu hawajawahi kucheza pamoja ,

Kwa mech hiz za pre season wacheze zote wataelewana tu

Kwenye Ligi aanze kuwaingiza mmoja mmoja , Timber anaonesha yupo tayari hata Rice ,

I prefer Kai acheze CF au #8 atokee sub

But Siku zote moyo wa Mashambulizi ya Arsenal huwa ni sehemu kuu 2 , kwa Partey na Zinchenko
 
Nafikiri Arteta anawakati mgumu huko 😂😂😂😂...
Anavyotaka kumtumia kai na rahisi kwa pamoja ilikuthibitishia bodi kwanini ametumia mamilioni kwao ndio atakuwa anakula fainiii😂😂😂

Inavyoashiria sasa Gabriel na ramzidaleee wachomaji wapya wa kudumu😆😆😆

Mechi zilizobakia zinaweza kumvuruga arteta na kikosi kwakuwa akikosa matokeo atapaniki kama mwaka 2020/21 kila mechi itakuwa na kikosi kipya halafu matokeo yaleyale😆😆😆...

Usajili wa makaratasini mtamuu huo kama kuongea kiingereza kimya kimya unakuwa hukosei😂😂😂😂 kimbembe ukianza kutoa sauti sasa sawa timu ikianza kucheza uwanjani baada ya usajili😂😂😂😂...

Msimu huu kwa arteta kuna uwezekano utakuwa mgumu kama 20/21 endapo sajili alizofanya akishindwa kuziunganisha vizuri(akilazimishia mambo)

Patei huko aongezewe ulinzi😂😂😂😂😂tabu ipo pale pale 😂😂😂😂
 
Uliwahi kupotea humu JF from April to June unajua hamis77 problem kubwa uliyonayo ni kuchanganya football ️ vs Mahaba hili ndio tatizo lako kubwa siku ukitenganisha hivi vitu utakuwa hukimbii JF siku mambo yakiwa magumu una mahaba mazito na Arsenal that's why huwa logic zako zinachekesha sisi huwa muda wote tupo ni mfano uniambie Arsenal season hii atabeba EPL na Champion league ni jambo ambalo haiwezekani but sababu tunaipenda Arsenal for more than 27 years tutaendelea kuangalia mpira wao I repeat siku ukipunguza mahaba mazito na ukawa na jicho la 3 hautateseka abadani

Jana ulisema hii sio friendly game ni vita na ukanena kuwa Odds nyingi kapewa Manchester United na ukanena Arsenal 4 -0 Manchester United Full Time sasa nani ni mpumbavu kati ya sisi na wewe kama ulivyouita?that's why nasema Mahaba yanakupoteza punguza hilo tu
Wewe ni mnafiki sio shabiki wa arsenal,haiwezekani arsenal apoteze mechi uje kwa furahaa na kuanza kumshambulia Hamisi,ungejipambanua uko timu ghani tukujue,badala ya kufanya analysis ya mechi umekurupuka kuja kushambulia watu,unaelezea moyo wako kwenye maandishi yako
 
Back
Top Bottom