Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Ni ngumu mtu kuwa anaku quote alafu we unaendelea na mambo mengine Kwa sababu unapata notificationMimi nikiku quote we endelea tu na mambo yako , nikifanya hivyo its not for you at all ni kwa ajili ya watu wengine wanaosoma so they can know haya ni matumaini bandia .
Mimi nakushangaa mbona wewe una ni quote mimi silalamiki mzee
Ulisema hutanijibu tena ila still unanijibu , mimi kuku quote sitaacha wewe fanya kuni ignore tu lakini pale napojisikia kuweka mambo sawa nitafanya ivyo.
Nilishakuambia hii ni open forum as long as ni member wa JF sijavunja sheria yoyote then im free to participate upende usipende , kama unataka mawazo yako yasipingwe au yakipingwa unafura na kuanza matusi mimi hilo halinihusu kabisa
Me nadhani njia nzuri ilikuwa ni kufata jamaa alichokuomba kuwa acha kum quote, that's better...!
Hili ni jukwa huru hatukatai, ila huo Uhuru ni wa wewe kupost chochote kile unachojiskia ilhali huvunji Sheria, ila sio jukwaa huru kwa kulazimisha mahusiano na mtu ambae hataki
Kwani wewe hizo false hope unazoziongelea ukizipost tu bila kum quote jamaa utapungukiwa nini? We post tu sie tutasoma wala usipate shida
ila kitendo cha kuendelea Kulazimisha kitu ambacho mwenzio hataki unataka tuhisi labda kuna kitu kingine tofauti na huu mpira ambao unajadiriwa hapa
Hakuna kitu kizuri kama kujua mipaka yako, humu kuna kina Flano Mkohoti lembu allypipi na wengine wanatema shombo kweli kweli ila ni zile za utani wa mpira ila huwezi kuona mtu anamwambia kuwa Acha kuni quote
Sasa wewe hadi unaona unaambiwa hivo maana yake imetoka kwenye football fun na kwenda personal zaidi, tuelimike mkuu, unachofanya ni Bullying na unaweza msababishia mtu trauma
Unaongelea kuhusu False hope anayotoa jamaa mbona sio case kabisa kwenye ushabiki wa mpira, kuna watu wanasema Chelsea itamaliza juu ya Arsenal na huo ni mpira huwezi kushangaa sana kwa sababu asilimia kubwa hisia hubeba nafasi kubwa kuliko uhalisia
sasa inashangaza wewe unaumia nini kuhusu false hope za jamaa ilhali nawewe unaweza kwenda kuhubiri kuhusu True hope kwenye Jukwaa la Team yako na washabiki wenzako bila kukwazana na mtu mwingine
Wewe endelea kutupiga spana humu ndani kadri uwezavyo ni ruhusa kabisa ila spana zako usizielekeze kwa mtu mmoja, we njoo piga spana kama wengine wafanyavyo ila sio kuendelea kumganda mtu aliesema hataki

na beki wa pembeni wanakuja kuoverload kiungo
Arteta when asked about Declan Rice: 
