Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 629
Mechi kesho inaoneshwa DStv??
Ode-trossard au ESR...Vieira huwa anacheza ila bdo simkubali sana unless msimu huu abadilikePartey +Rice+ Odegard .
Partey last season game 10 za mwisho ali flop kachoka akawa uncle tom game ya westham alifanya blunder naona mpaka arteta akaanza kumla benchi. Now mpo uefa hamna tena timu kama zurich kuna giants tu na misako kama yote.
Odergard moyo wa timu yenu huyu, ushawahi kujiuliza odergard akipata majeraha nan atacheza namba yake? Au ndo yatakuwa yale yale ya saliba. Unaweza kusema yupo ESR au haivetz je wanaweza ku offer anacho offer ode?
Rice tunawaponda lakini ukweli the guy is sold pale kati ni zaidi ya xhaka hana ile kupoteza mipira ovyo na ametulia kweli hana papara zozote, kuna muda xhaka anaonekanaga ana mguu mzito pia Rice sidhani ni mguu wa glass hana majeruhi ya ovyo.
Arsenal kukaa bila injuries hilo huwa haliwezekani tena now mpo kote subiri uone.
Odergard akiumia just imagine arsenal itakuwa wapi ? In terms of playing
Huyo jamaa ni mnafiki ndio maana nilimwambia yeye anasema ni Newcastle why asifufue Uzi wao ,kila siku anakuja humu kukebehi mashabiki wa ArsenalUkitaka usisikie habari za arsenal au kuona watu wakiongelea timu Yao ni very simple....unaacha kuingia kwenye hili jukwaa hutakaa uone...unaongea as if unaumia saaana mkuu...watu wakikimbia au wasipokimbia ww kinakuwasha nn....after all hii ni platform ya mashabiki wa Arsenal... whichever timu unayosapoti nenda huko kwny timu yenu mkaongee mambo realistic kama unaona hmu Kuna hadithi za alfa na ulela
Unapoteza muda kumjibu mtu ambaye anakufanyia unafikiOde-trossard au ESR...Vieira huwa anacheza ila bdo simkubali sana unless msimu huu abadilike
Arsenal hakuna shabiki wa hivo ,Wewe ni mshika bunduki mwezetuu!!!!!!
Ila umeamua kujiweka tayari kisaokolojia, in case shit goes rogue!!!!
Nakuelewa brooooo!!!!!!!
Once A Gunner, Always A Gunner
Huwa mna kazi kumjibu huyo jamaaUnatuchanya mkuu, mara unasema haifikii September tunapoteana, mara tena October.Hatukuelewi mkuu unachokiongea.
Haya tuachane na hayo, hebu chagua moja kati ya hizi chini
a. Partey+Rice+Odegard
b. Partey+Havertz+Odegard
c. Partey+Jorginho+Odegard+Havertz
Baller Review – Mohammed Kudus

Huyo jamaa narudia ni mnafiki ,yaan yupo kukebehi ,amejitanabaisha amehama Arsenal ,ok fine move onOde-trossard au ESR...Vieira huwa anacheza ila bdo simkubali sana unless msimu huu abadilike


Mc Masingeli angekua mchungaji angepiga sana helaaaa. Acha maneno mengi , mashabiki wa manjesta bhanaMc Masingeli angekua mchungaji angepiga sana helaaaa.
Jamaa linawajulia sana Kondoo wake, yaani likianza kuwapiga Upako hakuna Kondoo anaechomoka.
London will never be red (bottlers)


Bila £100m jamaa wamesema Caicedo haondoki Kabishane na hao sky sport ,mm utanionea tuLondon will never be red (bottlers)
London will never be red (bottlers)


Bottlers kila kukicha hua wanaforce waonekane na wao ni timu kubwa.