Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkurugenzi Mtendaji wa Arsenal, Vinai Venkatesham ameiambia @Bloomberg kwamba Marekani ndio soko la #1 la Arsenal kimataifa na linachangia karibu 20% ya mauzo wanayofanya.
20230718_111218.jpg
 
Tupo hapa kuwakumbusha mzee ila tunaumia nyinyi kuwa na matumaini bandia si unajua tena ndugu zetu wa kenya walishajinyonga wengi tu kisa matumaini bandia ya arsenal.
Kuhusu kuumia kisa arsenal huo ni uongo, kukimbia huko ndipo tunapoumia coz mtakuwa hamjapenda kukimbia vichapo ndo vimewakimbiza.
Ni furaha sana hizi hadithi za alfa ulela kuzisikia ndo maana unatuona kutwa tupo hapa kucheka na kushangaa

Nimependa jina la id yako Arsenal 2004 the last time Arsenal kashinda epl miaka 19 nyuma hata halland, martinelli, saliba , saka walikua hawajuii mpira ni nini ila now halland ana epl still mpo na matumaini ya epl
Hawa jamaa ni wehu, wAkianza kupanga timu, kiungo kinakua inverted😂 na beki wa pembeni wanakuja kuoverload kiungo😂, halafu viungo wao ni press resistance, viungo wa mbele wana interchange play😂 ........
Kwa hayo maneno hata shallon soccer anakula goli 10, njoo kwenye uhalisia sasa dah!.
Ndio mana tunapenda kuja huku kwnye hili jukwaa kuondoa stress, mana huwa wanachekesha, Naomba Mod Flano kwa mamlaka uliyopewa hapa Jf uhamishe huu uzi uupeleke kule kwnye jukwaa la Jokes.
 
#AFC | Arsenal trained in Washington for the final time ahead of their journey to New York.

Smith Rowe and Partey involved.

- Arsenal.com
20230721_230503.jpg
20230721_230457.jpg
20230721_230444.jpg
20230721_223318.jpg
20230721_223130.jpg
20230721_223127.jpg
 
Huyo jamaa narudia ni mnafiki ,yaan yupo kukebehi ,amejitanabaisha amehama Arsenal ,ok fine move on

Kuna jamaa mmoja humu aliwahi sema amehamia PSG akakebehi Sana akisema hata top 6 hatutaingia ,ndio kipind Arteta anajenga timu , deadwoods kibao , tulipambana Sana ,Arsenal ilipoanza kukaa sawa kichezaji ,hataki tena kuambiwa yeye ni mshabiki wa PSG,

Sasa unafiki Kama huu sio mzuri


Unaiamin Newcastle ,ni Bora na itagombea ubingwa , ok Fine ,Kuna jukwaa lipo lilifungiliwaga na shabiki mmoja mnafiki wa Liverpool kipind klopp anafika ,baadae akalitelekeza akarudi Liverpool

Unafiki wa hivi lazima tuukemee

Mbona mimi nisha move on kijana kitambo sana toka mechi ile ya Brighton mnakula vyuma 3 tena emirates nikaona hizi false hope sio.

Unafiki sio mzuri kabisa hilo nakubaliana na wewe ila hujajua unafiki ni nini, mimi hapo unafiki wangu ni upo kusema arsenal haiwezii kuchukua ubingwa ? Mbona mifano halisi ipo ukitaka ushahidi tunaleta au kusema arsenal ni false hope, hili nalo unahitaji ushahidi

Unafiki ni kujigamba kuwa ooh city anaenda kufa pale pale etihad au Liverpool wazee tunawapiga si chini ya goli 3 then timu inazingua, watu wanakutafuta japo uwachambulie kimetokea nini lakini mwenzetu unaenda mafichoni kujificha huo ndo unafiki na sisi lazima tuukemee vile vile.

Jukwaaa la Newcastle game zikianza lazima tulifufue hatuwezi kulifufua saivi game hazijaanza si unajua kule kuna watu wazima huwezi wadanganya kitoto pia tunataka tuongee kwa vitendo
IMG_1340.jpg

Tukisema false hope tunakosea wanangu? Halafu kweli hamis unasema tunawaonea wivu kwa kipi sasa kushika nafasi ya pili au kucheza uefa, ona hapo arteta anasambaza false hope
 
Mwaka jana ndo tulikuwa tumeonekana walau tume challenge...miaka mingine yte usingeweza kukaa na kusema arsenal anagombania ubingwa...it was all about top 4...Sasa kama mwaka jana tuli slip up mwishoni na kipindi hiki tumesajili watu ambao tunaona wanaweza kutu push zaidi kuna Ubaya kusema tunagombani ubingwa tena na kuamini tunaweza kushinda....Liverpool amen challenge City miaka ya hivi karibuni kaishia kupata kombe mara moja tu...City kabeba mara tatu mfululizo...Sasa na sisi kuona namna mwenendo unavyoenda na watu tulonao tunaona kabisa uwezekano upo...hvyo hzo prediction za sijui September mara January mtabaki nazo sana msimu huu....tukikaa pale juu safari hii msahau ndugu zetu

Labda umesahau mwaka aliochukua leicester city december mlikua top then ikaja game ya soton mkala 4 then mkarudi game na Leicester mkaleta false hope kwa goli la welbeck then ikafuata game na swansea mkafa 2 sijuii 3 zile

Liverpool usifananishe na arsenal kabisa , liverpool ameenda na city toe to toe mpaka game ya mwisho kabisa( the final game) two times sasa man city kachukua ubingwa anakula kashata na kahawa pale etihad bar then unasema mlichallenge ubingwa kweli ? Man city katangaza ubingwa bar sijuiii unaelewa mzee

Havertz ndo akupatie ubingwa? Huyu ngongoti asiyekuwa na nguvu sometimes unahitaji only one man for the team kupata ubingwa, yani pale timu inapoonekana imechoka , uliona alichofanya gundo kaamua mechi kadhaa za city wakati hayo yanatokea ndugu yangu partey alikua kajichokea mwenzake xhaka anagombana na vitoto kina trent.

Trust me this season hamuwezi kabisa Kuwa kama mlivyokua, juzi tu hapa pasi zenyewe zilikuwa zinawashinda tena mnacheza na MLS maboko kibao.
 
Mbona mimi nisha move on kijana kitambo sana toka mechi ile ya Brighton mnakula vyuma 3 tena emirates nikaona hizi false hope sio.

Unafiki sio mzuri kabisa hilo nakubaliana na wewe ila hujajua unafiki ni nini, mimi hapo unafiki wangu ni upo kusema arsenal haiwezii kuchukua ubingwa ? Mbona mifano halisi ipo ukitaka ushahidi tunaleta au kusema arsenal ni false hope, hili nalo unahitaji ushahidi

Unafiki ni kujigamba kuwa ooh city anaenda kufa pale pale etihad au Liverpool wazee tunawapiga si chini ya goli 3 then timu inazingua, watu wanakutafuta japo uwachambulie kimetokea nini lakini mwenzetu unaenda mafichoni kujificha huo ndo unafiki na sisi lazima tuukemee vile vile.

Jukwaaa la Newcastle game zikianza lazima tulifufue hatuwezi kulifufua saivi game hazijaanza si unajua kule kuna watu wazima huwezi wadanganya kitoto pia tunataka tuongee kwa vitendo View attachment 2695681
Tukisema false hope tunakosea wanangu? Halafu kweli hamis unasema tunawaonea wivu kwa kipi sasa kushika nafasi ya pili au kucheza uefa, ona hapo arteta anasambaza false hope
Acha unafiki , mbona unaumia Sana kuhusu Arsenal kijana


Unafiki ni mbaya
 
PSG consider Mbappe for sale starting from today (@FabrizioRomano).

Arsenal would be Mbappe's No.1 choice if he were to come to the PL (independent). #afc
 
Acha unafiki , mbona unaumia Sana kuhusu Arsenal kijana


Unafiki ni mbaya

IMG_1359.jpg

IMG_1366.jpg

IMG_1365.jpg

IMG_1364.jpg

IMG_1508.jpg

Mshikaji wenu “ win” huyo arteta akamleta akadhani ndo mtashinda ligi , picha za juu hizo ni different players but the same arsenal common thing hapo ni vilio tu kuanzia kwa kocha as player mpaka kwa nwaeri youngest player

Mods ikifika april kama sitaleta picha kama hii tena nipigwe ban nakuomba hamis na wewe ulite picha ya hata arsenal kanyanyua kikombe cha chai tu
 
Acha kujichekesha Kama mwanamke ,thus why nilikwambia usiwe una ni quote ,ila husikii

Au Kuna lingine?

Why huwa unawashwa when u see my comments?

Matusi ya nini tena mbona huwa unakasirika sana tukikuambia ukweli kijana, Tulia hapa sio kitchen party ushazoea u mc basiii unataka kuongea pekee yako.

Punguza hasira brother we are here against false hope and you are the one who bring false hope .
 
View attachment 2695707
View attachment 2695708
View attachment 2695709
View attachment 2695710
View attachment 2695711
Mshikaji wenu “ win” huyo arteta akamleta akadhani ndo mtashinda ligi , picha za juu hizo ni different players but the same arsenal common thing hapo ni vilio tu kuanzia kwa kocha as player mpaka kwa nwaeri youngest player

Mods ikifika april kama sitaleta picha kama hii tena nipigwe ban nakuomba hamis na wewe ulite picha ya hata arsenal kanyanyua kikombe cha chai tu
Nyie ndio mnafanya vijana waliotok poor family wakifanikiwa walowee mjini wakirud vijijini mnaamini uwezo wao haujawafanya wafanikiwe acha roho za kichawi hata mancity kachukua uefa mbele y vigogo wakubwa zaid yake kwa sasa huwez taja title contender wa epl bila kuitaja gunners zingine ni roho za kichawi tu tema mate chini nyoosha mikono juu mwanbie mungu mimi ni mchawi naomba niokoe
 
Nyie ndio mnafanya vijana waliotok poor family wakifanikiwa walowee mjini wakirud vijijini mnaamini uwezo wao haujawafanya wafanikiwe acha roho za kichawi hata mancity kachukua uefa mbele y vigogo wakubwa zaid yake kwa sasa huwez taja title contender wa epl bila kuitaja gunners zingine ni roho za kichawi tu tema mate chini nyoosha mikono juu mwanbie mungu mimi ni mchawi naomba niokoe

We unaamini kufanikiwa ni mjini tu , mtafuteni kwanza mchawi wa arsenal wala sio mimi.
The only man can go toe to toe na pep ni klopp, kidogo kijana wangu Eddie howe nae anajipanga kwa battle na last season angalau waligawana point na pep.
Wewe arsenal umekufa nje na ndani ulichoambulia ni possession first leg pale emirates .
Huwezi kuitwa title contender kama timu inachukua title ikiwa bar hapo ume challenge nini sasa? Kaangalia season 2020-2021 na 2021-2022 utaona maana halisi ya title contender
 
Nyie ndio mnafanya vijana waliotok poor family wakifanikiwa walowee mjini wakirud vijijini mnaamini uwezo wao haujawafanya wafanikiwe acha roho za kichawi hata mancity kachukua uefa mbele y vigogo wakubwa zaid yake kwa sasa huwez taja title contender wa epl bila kuitaja gunners zingine ni roho za kichawi tu tema mate chini nyoosha mikono juu mwanbie mungu mimi ni mchawi naomba niokoe

IMG_1534.jpg

Sasa hapa mchawi ni nan mimi au anaeliza vitoto kama iviii

Hili hata wenger alilisema au mtu aliyesimamia mpaka arsenal ikawa na uwanja wa maana amekuwa mchawi?
IMG_1530.jpg
 
Arsenal wanamfukuzia winger wa ajax Mohamed kudus

Ajax wao wanataka dau lisilopungua £40m Kwa mchezaji huyo

Ili Arsenal imsajili Mohamed kudus itabidi iuze baadhi ya wachezaji

Vipi anafaa kuja kumsaidia Bukayo Saka?
 
Matusi ya nini tena mbona huwa unakasirika sana tukikuambia ukweli kijana, Tulia hapa sio kitchen party ushazoea u mc basiii unataka kuongea pekee yako.

Punguza hasira brother we are here against false hope and you are the one who bring false hope .
Wewe jamaa Kuna namna maana nilikwambia siwez kupoteza muda na wewe ,nikakwambia usini quote ,ila husikii , Kuna namna haupo sawa au unatafuta bwana kinguvu ,

Sitakujibu Tena , ila utashangaa unafosi

Mm nakawaida nikigundua hatuendan nakukwepa ila maisha mengine yaendelee,lakin wewe hutaki ku move on,
 
ARTETA KASEMA PARTEY ANABAKI

Mikel Arteta on Thomas Partey future:

"Without a doubt [he's in my plans for this season].

"Thomas is a super important player for us and for me.

"I want him to be part of the team,"
20230721_223127.jpg
 
Back
Top Bottom