Inaonekana Hawa ndio waliowai jezi alizorusha artetaArsenal subs:
Hein, Runarsson, Tierney, Holding, White, Kiwior, Trusty, Partey, Jorginho, Smith Rowe, Trossard, Vieira, Marquinhos, Cozier-Duberry, Jesus, Balogun. View attachment 2696476
Hiko kikosi cha MotoNasikia hivo![]()
Partey yupo subHiko kikosi cha Moto
Hofu labda Kama bado hawajoeana mikimbio
Maana hapo amekosekana partey na zinchenko tu Arteta ashitakiwe kwa terrorist attack against nyumbu
Juzi nilimuona akiwashangaza elneny na rice jinsi mpira unavyokua na adabu kwake,Partey yupo sub
Tunamkosa Gifted player Zinchenko
Amepona ,ila Arteta hataki kumuwahishaJuzi nilimuona akiwashangaza elneny na rice jinsi mpira unavyokua na adabu kwake,
Ziny sijui anashida gani aisee
Mkuu arsenal hii show showWhy people Wana complain eti hii ni strong team wakati hayupo Partey , Jorginho, Trossard,Smith Rowe,Vieira ,Zinny, White , KT, n.k
Huyu mpuuzi aache kuwaambukiza vijana unyumbu7hag anamtapeli Nini Amario Cuzery Dubery ,Saka Jr
Anataka akachukue nafasi ya Anthony masebene niniView attachment 2696497
Kma anamtaka aseme tumpe awasaidie kwa mda....maana hyu kwetu atapata namba mwaka 20307hag anamtapeli Nini Amario Cuzery Dubery ,Saka Jr
Anataka akachukue nafasi ya Anthony masebene niniView attachment 2696497
niliwaambia mainoo atawafundisha boli hawa madogo janja.Mainoo anamfundisha Muingereza ghali namna ya kucheza boli.
£105m mara ya mwisho alipotezwa na Amrabat.