Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

As Fulham Vs S'land so as Arsenal Vs N'Castle.....Bado finishing ni tatizo... Gevinho is Good though kwenye finishing bado ni mbovu... Anahitaji muda kuzoea EPL na anahitaji kupunguza hasira......Ramsey looked good katikati... Song still Soilid... Verminator and Cos wameonyesha kiwango kizuri they can create a nice pair though we need back up yao nzuri......To AW need to buy two players a FINISHER and a CB....Thanx wadau kwa umoja wenu na ushirikiano katika jukwaa hili... Nakaribisha Kshfa na dhihaka kutoka kwa watani.....
 
hongereni arsenil kwa draw.

Wala sio mbaya kabisa, kesho tutaendelea kuwashingilia Manure, Chelsea na Man City. Washinde, tuwape hongera zao! Kama vile kutaleta difference mapema kiasi hiki?!
 
Huyo Coward hawezi kuwepo wakati wa live games!

hahahahaaaaa.... He will be here real soon na picha zake...Personally namkubali sana wacha 1...... Kesho atawachana mbaya japo mnacheza na vibonde........
 
Leo Beki yetu imenifurahisha hakukua na uzembe ...hata hivo ni game ya kwanza .. sio mbaya ku draw ...

formation ya leo RVP mbele peke yake haifai.. inabidi game ijayo tubadilike ....
 
Tunahitaji reinforcement haraka sana, zaidi tunahitaji kuziba nafasi ya Nasri hapa kati na kule nyuma mabeki wa uhakikakama wawili na sio akina Sqilachi. Venginevo hongera vijana kwa clean sheet.
Discipline nayo imeshuka, Song bahati yake, Gervinho nae inabidi ajifunze haraka kwamba ligi ya Uingereza hakuna kujitupa-tupa kirahisi. Nimeshangaa tumecheza na frustrations sana na ndio sababu ya kupata kadi nyingi, zaidi wale wachezaji senior wameonekana wako frustrated, Song, RVP, Vermaelean na Rosicky wote walionekana wana mahasira.
Mzee Wenger inabidi afanye kazi ya ziada kuturudishia imani.
 
Wala sio mbaya kabisa, kesho tutaendelea kuwashingilia Manure, Chelsea na Man City. Washinde, tuwape hongera zao! Kama vile kutaleta difference mapema kiasi hiki?!


Ndio maana ikaitwa ligi, 38 games! You don't win the league in October, bad you can lose it!
 
HIYO INAITWA USIMCHEKE MWENZAKO.... ILA Burton jamaa ni ligomvi asingemfata Gervinho yasingetokea yote yale.
 
hahahahaaaaa.... He will be here real soon na picha zake...Personally namkubali sana wacha 1...... Kesho atawachana mbaya japo mnacheza na vibonde........
<br />
<br />
Jamaa yuko funny sana, tatizo muoga mno kwenye mechi za Arsenal anazama mitini...
 
Huu msimu umekaa wa kujipanga upya zaidi unless kama kuna wachezaji wenye uzoefu wa maana watakuja kabla tarehe 31.
 
haina majotroooo! point moja si haba mkuuu!!!! ..... bado wewe
Sie si unajua uwa tunaanza taratibu...draw draw nyiiingi ila tukifika November/December/January tunafire all cylinders.
 
Back
Top Bottom