Swahiba siku hizi umehamia mitaa ya NC ama ndio ndio unashabikia kila mpinzani anayecheza na Arsenal?Obarten atatuinua
Mkubwa mechi za mwanzo-mwanzo hizi bado hakieleweki.we cant judge any team in game... sie leo tulifulia kabisaa, at least arsenal wanajitahidi
Hadi wewe?conspiracy against gooners continues.....
<br />Swahiba siku hizi umehamia mitaa ya NC ama ndio ndio unashabikia kila mpinzani anayecheza na Arsenal?
Hizi mechi ndio zina matter mwishoni mwa msimu...waswahili wanasema biashara asubuhi.Mkubwa mechi za mwanzo-mwanzo hizi bado hakieleweki.
conspiracy against gooners continues.....
<br />we cant judge any team in game... sie leo tulifulia kabisaa, at least arsenal wanajitahidi
Mkuu ukimsoma fangason... basi hakuwahi kufanya biashara asubuhi, go back to stas mkuu<br />
<br />
Mkubwa biashara asubuhi,utakuja kuona umuhimu wa hizi pointi May mwakani
we cant judge any team in game... sie leo tulifulia kabisaa, at least arsenal wanajitahidi
sasa unauliza pumba kwa MS, sisi tumefulia... on our last stage ya kufulia, a u-turn on the vergeKwani nyie si ndio kawaida yenu kufulia, au?!
dogo ana kelele kama nini aiseeWapi wacha1??? Mechi nzima hakuna khe khe kheeee!! Au yuko busy ameshikilia kitovu?!