Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Hoja yako ilikuwa kwamba tuko worse kuzuia mipira mirefu, na ndio maana nikaweka picha inayoonesha defensive line height (in metre) kutoka kwa golikipa kwenye kila timu EPL.Will Jr
Mi naona hatutakuja kuelewana. Hizi picha za stats zilikua zinaletwa na jamaa kudefend uwezo wa Rashford. Ni same issue na unachofanya wewe hapa.
Na ninarudia tena. Angalia mechi bro usikomae na hizi stats huku mechi huangalii, na ujitahidi kuangalia za timu mbalimbali ili hata ukisema Rice mzuri unakua umemuangalia.
Huyu nonewthing unayemfuatilia hua anasema tunamhitaji Leao kutokana na stats lakini aliulizwa ikiwa anaangalia mechi turns out hua anamuangalia Youtube.
Angalia mechi
Swali ninalojiuliza, imewezekanaje Arsenal kupoteza mechi nne tu ikiwa tupo hovyo kuzuia mipira mirefu kama usemavyo, wakati mstari wa mwisho kwa wastani unakuwa umbali wa zaidi ya mita 40? Yaani kwenye ligi ambayo asilimia 70 ya timu zinacheza long balls wameshindwa vipi kuutumia udhaifu wetu wakashinda mechi? its all about facts brother, try to be rational ueleweke, usiandike hisia tafadhali.



