Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuwaombee Arsenal washinde leo ndugu zangu maana jukwaa letu la man u wenda likakosa wachangiaji kabisa.

Maana ndo wanamiliki jukwaa la man u kule wakichapwa kuwaona hapa Mpaka next week.
 
Mechi tano za mwisho kusimamiwa na refa wa leo zote tulipasuka
 
Tuwaombee Arsenal washinde leo ndugu zangu maana jukwaa letu la man u wenda likakosa wachangiaji kabisa.

Maana ndo wanamiliki jukwaa la man u kule wakichapwa kuwaona hapa Mpaka next week.
Inabidi tupoteze mechi mbili ili tutoke nafasi ya kwanza
 
DH
UEFA wataamua wenyewe tuende Champions League kupitia top 4 au bingwa wa Europa League.

Sasa hivi tupo kwenye mission treble. Wewe subiria sherehe za kurudi Champions League baada ya miaka 7. Sherehe za ubingwa msimu huu zote zitafanyika jijini Manchester.
Kweli aisee daah. Kumbe bado mnakaEuropa kanacho wafanya mtambe mtaani 😄😄. Mkitolewa huko itapendeza sana
 
Moja katika game nyepesi tunapoenda kukamilisha hii slogan Arsenal NDOO
1. Liverfool
2.chelkenge
Hizi pimbi hapo juu zilipocheza wenyewe kwa wenyewe ile juzi, Hadi nikawa najiuliza Moto wetu wataustahimili kweli!
Kama demu ashakula Sana nauli weekend yenye kimvua mvua ndio anajichanganya kukutana na muhuni


Game ngumu
1.brighton
2. Newcastle

Game 50/50
1. Manshit

Arsenal NDOO
Haaland KIATU
Nyumbu YUROPA
 
Livapu na ubovu wake wote hawezi kufungwa na arsenal pale anfield.
Leo point mtazitapika mtake msitake.

#YNWA
 
Saka starting. Trossard misses out. Only change

(@LetsTalk_FPL )

Means Holding,Martinelli,Jesus start
 
Martinell JESUS Saka

Wote ndio wataanza kuongoza mashambulizi

Liverpool wanamkosa Nunez atakuwa bench
 
Henderson, Fabinho and Jones start in midfield together for the 2nd game in a row. #LFC
 
Kikos cha Arsenal

Aaron Ramsdale

White Holding Maga Zinny

Ode partey Xhaka

Saka Jesus Martinell




Kikos Cha Liverpool

Allison; Trent, Konate, Van Dijk, Robertson; Jones, Henderson, Fabinho; Jota, Gakpo, Salah.

#LIVARS
 
Back
Top Bottom