Inabidi tupoteze mechi mbili ili tutoke nafasi ya kwanzaTuwaombee Arsenal washinde leo ndugu zangu maana jukwaa letu la man u wenda likakosa wachangiaji kabisa.
Maana ndo wanamiliki jukwaa la man u kule wakichapwa kuwaona hapa Mpaka next week.
Kweli aisee daah. Kumbe bado mnakaEuropa kanacho wafanya mtambe mtaani 😄😄. Mkitolewa huko itapendeza sanaUEFA wataamua wenyewe tuende Champions League kupitia top 4 au bingwa wa Europa League.
Sasa hivi tupo kwenye mission treble. Wewe subiria sherehe za kurudi Champions League baada ya miaka 7. Sherehe za ubingwa msimu huu zote zitafanyika jijini Manchester.
Huyu si alishahudumu hapo liverpool au namfananisha???Achana na Serje Milinkovic Savic, kuna mwamba wa Lazio anaitwa Luis Alberto.. fundi mpaka basi, perfect replacement ya Xhaka kwenye LCM.




Hapana, itakuwa unasema Alberto morenoHuyu si alishahudumu hapo liverpool au namfananisha???
Nadhan kamrithisha huyu Bachelor IIHivi Carrasco Putin Yuko wapi?
Arv na carrasco the same personHivi Carrasco Putin Yuko wapi?