Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta on Arsenal not winning at Anfield since 2012:

"We’ve been in a few grounds that we haven’t won in many years and we’ve managed to do that. We’re capable of doing it.

We’ll need to be better, certainly than in the second half of last year." [football london]
 
Martinelli Jesus Saka

Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili

Xhaka & Partey kwenye midfield

Odegaard Kama Muunganishaji

Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira

Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande

Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
Mkuu km huyo T.A.A alikimbizwa na mshusha sox kweli ataweza mziki wa Martinell, yule mtoto utafikir kafungwa mota miguun anavyoteleza
 
Ninachohofia ni battle ya Salah v Zinchenko.. Salah akiamka vizuri ule upande kazi tunayo.

Na Salah ana kawaida ya kubaki kwenye mstari wa kati kipindi wapinzani wao wakienda kucheza kona ili kuwasaidia kwenye counter attacks.. sijui itakuaje mana beki wa kuzuia hizo alikua ni Saliba ambae ana speed, nguvu na uwezo mzuri wa kudefend.

Holding asije akatufanyia ujinga this time.
Huyo Rob holding huwa simwamin sawa na yule Chambers cjui yuko wapi ck hz
 
Mkuu km huyo T.A.A alikimbizwa na mshusha sox kweli ataweza mziki wa Martinell, yule mtoto utafikir kafungwa mota miguun anavyoteleza
Martinell huwa anamkimbiza Sana , mechi ya mwisho Emirates ,kabla Klopp alibwata Sana alipoambiwa TAA sio mzuri defensively , ile mechi inaanza tu Goli linapatikana upande wa TAA , ile mechi tulipata 2 goals upande wa TAA, akamtoa haraka .
 
Kuna uwezekano Saliba akawepo

Tuna majeruhi wawili Nketiah & Saliba


Arteta akizungumzia Hali ya majeruhi


"Tuna matumaini na mmoja wao, kesho labda anaweza kufanya mazoezi. Itabidi tuone. Sitakuambia! [NI NANI]."

Mikel Arteta anasema hakuna habari mpya za majeruhi ukitoa(Saliba,Nketiah na Elneny) lakini anasema mchezaji ambaye hajatajwa jina anaweza kuwa sawa Kuivaa Liverpool wikendi hii.
 
NEW:

Arsenal boss Mikel Arteta has confirmed that Bukayo Saka is fit and available for this weekend's clash against Liverpool. #lfc [football london]
IMG_20230407_140921.jpg
 
Arteta on the match at Anfield:

"First of all, it’s a different group, we're coming from a different position [to previous games] & what I see is enthusiasm, positivity...& courage. Courage to play, impose yourself on the game & be dominant. Sunday we'll try to be that team."
IMG_20230407_182958.jpg
 
Kocha kasema Tufurahi

“We do enjoy it, we have to enjoy it and we really need to embrace the moment and go for it.”

Mikel Arteta on the title race
IMG_20230303_213414.jpg
 
Vipigo tu tumeambulia..tena vizito
Liverpool wanaenda kukutana na Arsenal yenye ubora zaidi kuliko game ya Kwanza ikiwa na nidhamu zaidi kwa matokea ya hivi karibuni pamoja na kuwa na wachezaji muhimu kwenye safu zote

Saliba kukosekana ni pigo ila kwa mfumo wa Arteta timu inacheza kwa umoja hivyo uwepo wa Zinchenko utaondoa pressure kubwa kwenye safu ya ulinzi..

Partey kucheza nyuma zaidi kumlinda holding ni kitu ambacho tumekishuhudia kwa michezo 3 Sina wasiwasi

Zinchenko uwepo wake utaifanya Liverpool ichezee kwa kuvizia mfano Mzuri tuliona Man City walivyomtumia Stones ku invert zaidi ambapo city wali win Sana,hivyo uwepo wa zinchenko utatupa ubora kutengeneza mashambulizi

City kumtumia Alvarez ku drop ili ku link na wenzake kuliifanya safu ya ulinzi ya Liverpool kupoteana the same way kwa Arteta akiamua kumtumia Jesus katika safu ya ushambuliaji..namuonajesus akianza mbele ya Trossard

Liverpool midfielder zone Yao ilikuwa inashindwa ku link na winger zao kabisa katika game yao na city hivyo sitarajii kumuona Liverpool katika ubora wa kiungo kuishinda ARSENAL..

Ingawa Liverpool wanakuwa Bora Sana kwenye counter ila tegemeo lao huwa Ni fullbacks TAA na ROBERTSON ...Hawa watacheza chini mbele ya SAKA na MARTINEL

NIDHAMU ya kucheza game za away inatubeba Sana tukijizolea point 34 kuliko hata city wanaemuita bingwa.. Wanaosema Liverpool ana rekodi nzuri home wakumbuke Arsenal inaongoza Kushinda game za ugenini pia

Naipa Arsenal ushindi


Liverpool 1-3 Arsenal

#COYG
 
Nilikuwa napitia Social media mbalimbali , mashabiki wengi hasa manjesta wamekaa wanatuombea mabaya wakiwa wanatembea na fixtures yetu wanadai Ni ngumu Sana hatuwezi kutoboa

Huenda tukishinda kesho tutarajie kusikia wengi wakifa kwa presha
 
Back
Top Bottom