DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,946
- 11,373
Huyo Rob holding huwa simwamin sawa na yule Chambers cjui yuko wapi ck hzNinachohofia ni battle ya Salah v Zinchenko.. Salah akiamka vizuri ule upande kazi tunayo.
Na Salah ana kawaida ya kubaki kwenye mstari wa kati kipindi wapinzani wao wakienda kucheza kona ili kuwasaidia kwenye counter attacks.. sijui itakuaje mana beki wa kuzuia hizo alikua ni Saliba ambae ana speed, nguvu na uwezo mzuri wa kudefend.
Holding asije akatufanyia ujinga this time.