Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi siyo mpuuzi. Lakini nitamchagua Partey siku yoyote

mpaka kufikia kuwa ni mshabiki wa Arsanal basi ni mpuuzi, mupo too emotional na hamuishi kwenye uhalisia. Tatizo lenu kubwa mkipenda mnapenda hasa, hua hata ukweli hamuuoni tena.
 
mpaka kufikia kuwa ni mshabiki wa Arsanal basi ni mpuuzi, mupo too emotional na hamuishi kwenye uhalisia. Tatizo lenu kubwa mkipenda mnapenda hasa, hua hata ukweli hamuuoni tena.
Sawa. Hua najitahidi kujudge mchezaji kwa ninavyomuona siyo kwa ninavyotaka awe.

Ikiwa Jorginho hawezi kukaba hata umuandikeje hatoanza kukaba leo
 
Arsenal huu ndo ulikuwa msimu wenu,,,,poleni kuja kushinda tena PL sio Leo wala kesho!
Next season kuna timu zitafungulia busta zote, this time ilikuwa kitonga tu
Nakumbuka last season mlisema "Arsenal huu ndio ulikuwa msimu wenu wa kuingia top four, mmeupoteza haitotokea tena" hivyo unachosema sio kitu kipya brother, Arteta yupo hapo kuwafundisha soka mamluki kama wewe.
 
Sawa. Hua najitahidi kujudge mchezaji kwa ninavyomuona siyo kwa ninavyotaka awe.

Ikiwa Jorginho hawezi kukaba hata umuandikeje hatoanza kukaba leo
Jorginho hawezi kukaba kwa maana ipi? Kama anaweza kucheza a holding midfield role against the best transitional team in the league (Newcastle ) na akawa man of the match, akarecord clean sheet, afu unatuambia hawezi kukaba we namna gani? Unajua mnazingua at times, Usiongee kuhusu kukaba kama huelewi maana ya kukaba, shida yetu wengi tunaangalia mpira individually wakati mpira ni collective sport, mchezo wa watu kumi na moja, msikilize nguli Johan Cruyff anazungumza nini kuhusu defending, labda utajifunza kitu.
 
Jorginho hawezi kukaba kwa maana ipi? Kama anaweza kucheza a holding midfield role against the best transitional team in the league (Newcastle ) na akawa man of the match, akarecord clean sheet, afu unatuambia hawezi kukaba we namna gani? Unajua mnazingua at times, Usiongee kuhusu kukaba kama huelewi maana ya kukaba, shida yetu wengi tunaangalia mpira individually wakati mpira ni collective sport, mchezo wa watu kumi na moja, msikilize nguli Johan Cruyff anazungumza nini kuhusu defending, labda utajifunza kitu.View attachment 2614928
Hii judgment ya kwamba Jorginho mzuri umeitoa kwakua amecheza na Newcastle au siyo?

Umeangalia mechi? Umeona jinsi mid yetu ilivyokua overwhelmed at times?

Tuassume hii umeiangalia ile mechi ya round ya kwanza uliiangalia? Partey alikua dimbani, Newcastle wakajaribu walichokifanya jana wakagundua watapotea wakapaki basi.

Wewe unasema kacheza na Newcastle he is the best. Partey kacheza na nani nani?

Partey anatoka anaingia Jorginho, Jorginho anashindwa kutrack back tunaconcede, nyingine tena ameingia akaenda sambamba na mpinzani, mpinzani akastop yeye akaganda pasi ikatolewa mbele yake tukaconcede kama kumbukumbu zangu zipo sawa baada ya hii ndiyo Jorginho hajaingia tena mpaka juzi.

Niambie kama uliangalia hizi mechi zote?
 
Kuna kitu kimoja.

Watu wanataka maoni wanayotoa yaendane na wachambuzi au makocha mtu anakuambia kwanini tumuulize huyu bwana kukaba wakati kukaba ni collective?

Huyu huyu unakuta anamlaumu Ronaldo hakabi na aliwacheka nyumbu kumuanzisha. Kwanini asiseme kukaba ni collective its fine Ronaldo kuwepo, Arteta alimuondoa Ozil na sababu ni hakua akikaba kwani Arteta hajui kama kukaba ni collective?

Ni collective in a sense tushirikiane siyo nikufanyie constant cover ups. Ozil akaenda simply kwakua wakati wenzake wanakaba yeye hana msaada
 
Hii judgment ya kwamba Jorginho mzuri umeitoa kwakua amecheza na Newcastle au siyo?

Umeangalia mechi? Umeona jinsi mid yetu ilivyokua overwhelmed at times?

Tuassume hii umeiangalia ile mechi ya round ya kwanza uliiangalia? Partey alikua dimbani, Newcastle wakajaribu walichokifanya jana wakagundua watapotea wakapaki basi.

Wewe unasema kacheza na Newcastle he is the best. Partey kacheza na nani nani?

Partey anatoka anaingia Jorginho, Jorginho anashindwa kutrack back tunaconcede, nyingine tena ameingia akaenda sambamba na mpinzani, mpinzani akastop yeye akaganda pasi ikatolewa mbele yake tukaconcede kama kumbukumbu zangu zipo sawa baada ya hii ndiyo Jorginho hajaingia tena mpaka juzi.

Niambie kama uliangalia hizi mechi zote?
Partey anachomzidi J20 ni physicality tu, kwa wanaojua mpira hili wala halihitaji mjadala. Arsenal imeundwa kwa mid aina ya J20, na uzuri Arteta kakubali kutokuwa stubborn. Binafsi sihitaji hata mijadala ya TP, i've had enough of him, now i'm ready for the new holding midfielder.
 
Mikel Arteta yeye anaona tofauti, sio lazima uwe na power and pace ili kuwa kiungo bora epl, its all about intelligence, technique and insight..

Mikel Arteta on Jorginho vs Newcastle: “He was exceptional, he was man of the match, there were question marks because it was going to be really physical.

“If you want to go physicality against physicality, you have no chance to win the game so we had to try something different.

“He understood the game really well, he's a really intelligent player. He gives a lot of security to the team and dominated the game in many moments.” [Sky Sports] #afc
IMG_20230509_004957.jpg
 
Partey anachomzidi J20 ni physicality tu, kwa wanaojua mpira hili wala halihitaji mjadala. Arsenal imeundwa kwa mid aina ya J20, na uzuri Arteta kakubali kutokuwa stubborn. Binafsi sihitaji hata mijadala ya TP, i've had enough of him, now i'm ready for the new holding midfielder.
Hivi unajisikia unachoandika? Hii unachoandika kuna dogo wa twitter anakiandika anaitwa nonewthing. Juzi alisema kwamba Arsenal imeundwa kwaajili ya id kama Jorginho.

Na wewe unarudia kilekile.

Flexibility na agility ya Partey imefikiwa na Jorginho?

So games zote ambazo Arsenal tumeburuzana na watu na kua wa kwanza ilikua tunabahatisha kwakua Partey siyo aina ya kiungo anayetakiwa au siyo? Na games tulizopoteza kwakua Partey hayupo tukakosa top 4 hizi tuzisemeeje?

Unasema hutaki mjadala wa Partey ni kwakua mechi huangalii nimekupa mechi mbili alizotuchoma jamaa. Jitahidi uwe unaangalia mechi, kuna siku nikakutag nikakuambia tumuone Rice hapa and you were nowhere near, jitahidi uangalie mechi.
 
Mikel Arteta yeye anaona tofauti, sio lazima uwe na power and pace ili kuwa kiungo bora epl, its all about intelligence, technique and insight..

Mikel Arteta on Jorginho vs Newcastle: “He was exceptional, he was man of the match, there were question marks because it was going to be really physical.

“If you want to go physicality against physicality, you have no chance to win the game so we had to try something different.

“He understood the game really well, he's a really intelligent player. He gives a lot of security to the team and dominated the game in many moments.” [Sky Sports] #afcView attachment 2614959
Sasa ngoja nikuambie kitu.

Arsenal sisi ni wabovu kwenye kushambulia na kudefend kwa long balls, kama tungekua na style hii ya uchezaji Jorginho angekua anatufaa mno, kwa sasa hichi ndicho Arteta anafanyia kazi.

Forwards wakimaster hii ishu basi Jorginho atatupa glimpse nyingi za 1 V 1
 
Sasa ngoja nikuambie kitu.

Arsenal sisi ni wabovu kwenye kushambulia na kudefend kwa long balls, kama tungekua na style hii ya uchezaji Jorginho angekua anatufaa mno, kwa sasa hichi ndicho Arteta anafanyia kazi.

Forwards wakimaster hii ishu basi Jorginho atatupa glimpse nyingi za 1 V 1
Point zako huwa sizielewi mkubwa, huwa najaribu kukuelewa ila nashindwa. Kila siku unanishangaza na kitu kipya, Juzi ulikuwa una mdefend Holding kwamba sio tatizo la Arsenal, nikakwambia timu yetu inapata tabu kufanya build up kwa sababu ya kukosekana Saliba na uwepo wa rob holding, ukashangaa kinafki kwamba "Arsenal tuna tatizo la build up kwa kukosekana Saliba?" Kana Kwamba ulikuwa huoni magoli mengi tuliyofungwa kwa kufanya makosa kwenye build up phases baada ya Saliba kuumia,( wewe unaweza ukakataa kwamba hatukufungwa magoli ya hivyo, kwa record kaangalie mechi za Westham & Soton), leo anacheza Jakub kiwior na fluidity kwenye build up unaiyona, timu ipo comfortable kuplay out from the back, we did this very well against Newcastle( the most physical team itl) tunatengeneza nafasi & magoli mbele yanapatikana, sababu ni kwamba vile unavyoanza build up ndio inaathiri mchezo wako mbele utakuwaje (msikilize Guardiola au cruyff kwenye hili)

Bado unaendeleza agenda za TP hivi TP vile wakati J20 anachukua nafasi yake. Arteta anazungumza kwenye post match conference "huwezi kwenda physicality against physicality" means TP ubora wake ni physical zaidi ila ana lack intelligence & technique kitu ambacho J20 ana offer. Najaribu kuweka evidence labda uone kile ninachokiona, au Arteta anachokizungumza still unakuja na maoni yako wewe, sio kitu kibaya kuweka maoni ila sijawahi kuona ukinishawishi na namba au chochote ku-back up unachokizungumza, wewe ni maneno tu. Sikia brother wewe sio Guardiola or Johan cruyff, bado ni amateur unayehitaji kulearn game from the best.

Leo umekuja na hii ya Arsenal hawezi kuattack na kudefend long balls! Unaweza kuwa sahihi lakini namba zikwapi brother? Arsenal ndio second best team kwa kucheza high def line itl, imewezekanaje kuwa hapa tulipo leo kwenye ligi ambayo karibu timu 17 approach yao ni kucheza mipira mirefu? Je unaweza kuwa na namba za magoli ya counters au quick transition tuliyoruhusu this season? Mkono mtupu haulambwi brother, ni Guardiola tu mwenye uwezo wa kuongea kitu kuhusu footy na wala tisimuhoji kuhusu namba.
IMG_20230304_164746.jpg
 
Hii judgment ya kwamba Jorginho mzuri umeitoa kwakua amecheza na Newcastle au siyo?

Umeangalia mechi? Umeona jinsi mid yetu ilivyokua overwhelmed at times?

Tuassume hii umeiangalia ile mechi ya round ya kwanza uliiangalia? Partey alikua dimbani, Newcastle wakajaribu walichokifanya jana wakagundua watapotea wakapaki basi.

Wewe unasema kacheza na Newcastle he is the best. Partey kacheza na nani nani?

Partey anatoka anaingia Jorginho, Jorginho anashindwa kutrack back tunaconcede, nyingine tena ameingia akaenda sambamba na mpinzani, mpinzani akastop yeye akaganda pasi ikatolewa mbele yake tukaconcede kama kumbukumbu zangu zipo sawa baada ya hii ndiyo Jorginho hajaingia tena mpaka juzi.

Niambie kama uliangalia hizi mechi zote?
Sasa mkuu unakaa unanisimulia mechi? mimi naangalia principles of play wewe unaangalia style of play, wakati mi naangalia compact in defence, we unaangalia ku track back, yaani mi nangalia game collective we unasimulia individuality, mimi hata niangalie mechi moja kwa mwaka i can tell hii game inahitaji hiki na hiki for improvements, sababu nitarudi kwenye principles kwanza iwe ndanda na pamba, au Bayern na City, sasa wewe kwa vision yako kama ungekuwa director wa Barcelona ni wazi Iniesta, Xavi & Busquets wasingecheza pale, hii ni km Marco van basten kutaka Guardiola aondolewe Barca sababu hana nguvu, hawezi kuruka, hawezi kukaba(individually) wakati kocha anaangalia game collective zaidi.
 
Sasa mkuu unakaa unanisimulia mechi? mimi naangalia principles of play wewe unaangalia style of play, wakati mi naangalia compact in defence, we unaangalia ku track back, yaani mi nangalia game collective we unasimulia individuality, mimi hata niangalie mechi moja kwa mwaka i can tell hii game inahitaji hiki na hiki for improvements, sababu nitarudi kwenye principles kwanza iwe ndanda na pamba, au Bayern na City, sasa wewe kwa vision yako kama ungekuwa director wa Barcelona ni wazi Iniesta, Xavi & Busquets wasingecheza pale, hii ni km Marco van basten kutaka Guardiola aondolewe Barca sababu hana nguvu, hawezi kuruka, hawezi kukaba(individually) wakati kocha anaangalia game collective zaidi.
Mkuu! Wewe si Kuna kipindi ulisema Partey ana lacks fotball IQ, lakini baadae tulivyoanza kudominate games, ukasema sasa TP ameimprove. Sasa kama TP kaimprove kwenye kucontrol game, plus na baadhi ya sifa alizomzidi J20 (eg, flexibility, physicality, etc) huoni J20 kaachwa mbali na TP?
 
Hakuna wa kumzuia City kwa sasa. Kosa kubwa kwa arsenal ni games za So'ton na Liver, zile draw mbili points nne zinazotugharimu ubingwa.
Mkuu sio mbili ni draw 3 na kabati moja.
Mlidraw na Liver, Westham na Southampton kisha City ndio akaja kuvunja kabati kwa kipigo kitakatifu cha 4-1
 
Mkuu! Wewe si Kuna kipindi ulisema Partey ana lacks fotball IQ, lakini baadae tulivyoanza kudominate games, ukasema sasa TP ameimprove. Sasa kama TP kaimprove kwenye kucontrol game, plus na baadhi ya sifa alizomzidi J20 (eg, flexibility, physicality, etc) huoni J20 kaachwa mbali na TP?
Hanaga consistence brother. Imagine, your best holding mid anakaa sub kwenye mechi muhimu za kuamua msimu wako unaishaje!
 
Will Jr

Mi naona hatutakuja kuelewana. Hizi picha za stats zilikua zinaletwa na jamaa kudefend uwezo wa Rashford. Ni same issue na unachofanya wewe hapa.

Na ninarudia tena. Angalia mechi bro usikomae na hizi stats huku mechi huangalii, na ujitahidi kuangalia za timu mbalimbali ili hata ukisema Rice mzuri unakua umemuangalia.

Huyu nonewthing unayemfuatilia hua anasema tunamhitaji Leao kutokana na stats lakini aliulizwa ikiwa anaangalia mechi turns out hua anamuangalia Youtube.

Angalia mechi
 
Back
Top Bottom