Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zile 3 - 2 tulishinda kwa 4 2 3 1.

Leo tunaenda kwa 4 3 3. Tuliwanyima possession City nafikiri hapa tusikomae na possession tukomae na points kama last time tulivyokutana.

Forwards wanne wote wana mchango hadi nashindwa sema bora nani angeanza ila we are looking good. Jesus mzuri kusumbua defence Martinelli ashamburuza sana Trent na Saka anahofiwa na kila timu.

Mid yetu iko sawa. I'd prefer isiwe on movement mara nyingi kwakua Holding na Gabriel is not a perfect couple you can rely on 100%

Wao wamemuweka benchi ST wao wa milioni 100 na Jota kaanzishwa ili aendeleze ile lucky charm ya kuifunga Arsenal same na Salah. Gakpo is good but anaogopa kuengage physically angekuepo Saliba would've been better coz bullying ingekua kubwa zaidi.

Points 3 ni muhimu and I believe we can do it.
 
Ukisikia positional play ndio Leo Sasa
Hapo nilipozungushia, partey hatakiwi kupanda Sana
Lisimame hapo hapo, maana nyuma tutakua tupo uchi
Screenshot_20230409-180552.jpg
 
Flano anasuburi tufungwe ndiyo aje kujaza nzi humu?
leo mkigongwa hakika sikukuu ya Pasaka itakua njema sana upande wangu na dunia yote kwa ujumla.

#Arseyo Kondoo
#Haaland Kiatu
#ManCity Epl champion 2022/2023
 
Hizi game za kuelekea ubingwa, inabid zichezwa kama fainali vile.
Umakini uliotukuka, kuepuka makosa ya hovyo na kutumia nafasi kwa uzuri kbs.

Tunaanza sherehe za ubingwa leo.
 
Nyie wahuni mkishindwa kutufunga leo basi mjue mmewapa wale mama cita kikombe
 
Back
Top Bottom