Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah huyu city tutaanza wenyewe kumfungia busta
Binafsi simuhofii city
Hiyo game ipo 50/50 ukiangalia ki-proffesional zaidi

Arsenal NDOO
Wachezaji wetu Wana mentality nyingine kabisa ,sio za kitoto kama Hao kina martnell ,saka ,ramsdel hajitambui tumetoka kumfundisha mpira TT na buyern yake sembuse Hao watoto kina holding.....

Yaan Hao kina holding rodri atakuwa anajipigia kama panya ....
 
Hii mechi niliisubiri kwa hamu kubwa.

Hautakiwi kuogopa maana ukishabiki timu hiyo hayo ndiyo maisha ya kila siku .Kuna msimu wa Ramsey kwenye peak naTop scorer wenu mliongoza kwa muda mrefu watu tunajua tayari mabingwa kabla ya kunyan'ganywa tonge mdomoni .

Hii nayo naikumbuka, aroon ramsey kauwasha kwelikwelii tukajua ubingwa si ndo huu hapa ghafla majeruhii vipigo vikaanza mfululizo , ikafuata mwaka wa leicester city ule tukamfunga tukajua we are in title race kilichofuata baada ya gemu na leicester ni vipigo tuu now ni this time!!!
Wachezaji wapya kocha mpya ila the same mentality ya kuwa malooser !!!!!

Arsenal ugonjwa wake ni ule ule toka 2005 mpaka sasa we are losers!!!!!
 
Nimeipenda ile spirit tulioonesha from start, hasa second half
Tukienda kwa city tupande na spirit hii hii

Ni mjinga pekee atakaeamini city atashinda game zote zilizobaki

Genius arteta Leo ametuangusha kwa huyu mtoto wake veira, was good for nothing

Arteta atulize akili jinsi ya kuimaliza ligi

Arsenal NDOO
Haaland KIATU

False hope ili mashabiki wote wa arsenal tumejaliwa … tuna matumaini bandia sana na ni mabingwa wa matumaini bandia .. 20 years of false hope!!
 
ulishaona makondoo wakibeba ndoo
Screenshot_20230422-001740.jpg
 
Mpr chochote kinawezekana lkn ndg zng mmepoteza mwendo.. Yan mmepanic kwa ufup mnawaza sana aliye nyuma yenu kuliko kufocus na mechi zenu na iyo kisaikolojia imewavuruga tyr na ilo man city analijua tyr na j5 anatk kuwafukia kbs mpoteane.
J5 tutapigana kadri ya uwezo wetu kujaribu kurejesha matumaini ila inasikitisha mno
 
J5 tutapigana kadri ya uwezo wetu kujaribu kurejesha matumaini ila inasikitisha mno
Mkuu ubingwa ulikua mikononi mwenu kbs.. Yan tatz ni kuanza kumwaza sana aliye nyuma yenu ww waangalie body language ya wachezaj wenu utajua kbs hawa watu wameingiwa na hofu na hawako fully focused kwny game yao binafs.

Niwaambie tu ukwl kwa nyakat izi citeh anakua mtu mwngne kbs akiona opportunity kama izi.. Na j5 mkipata hata Draw bas mjue mna bahat... Maana nachojua lzm sik iyo pia mtaingia kwa kupania na mtaingia kwny mfumo wa City kwa kupanic na hapo ndo mtaharb game yenu wnyw na tutawafunga.
 
Arsenal akikosa NDOO niulizwe mimi

Katika mechi zilizobaki kwa city Kuna atakazo win, draw na zingine kupoteza kabisa
SOMA TENA
Tatizo lenu kubwa mlikuwa mnajua mmeshamaliza ligi wakati mechi zilikuwa zimebaki 8 akili yenu mnajua mechi na City tu mnashindwa kufocus mechi zingine hii ndo aibu mnayokumbana nayo

Maana haijawahi kutokea unaongoza ligi mechi 32 halafu unakosa ubingwa kizembe kiasi hichi ni aibu ya karne
 
Back
Top Bottom