Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Yawezekana Arsenal tukachukua ubingwa wa UEFA champions league mwaka huu








Kuna kitu TT amekisema, wachezaji wapunguze kua emotional wafocus na mechiArsenal ubingwa pale pale hutaki unaacha,tunatimu ya kumfunga mtu yoyote yule na tumebakiza mechi saba tu.ARSENAL BINGWA,tumeshaharibu tunainuka tena





"Tuna team ya kumfunga yeyote"Arsenal ubingwa pale pale hutaki unaacha,tunatimu ya kumfunga mtu yoyote yule na tumebakiza mechi saba tu.ARSENAL BINGWA,tumeshaharibu tunainuka tena
yoyote yule na popote pale"Tuna team ya kumfunga yeyote"
A wishful thinking from an arsenyanic mind.
westham uyoyoyote yule na popote pale