Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walikuwa washaanza kuaminisha watu kwamba hawa kenge ni mabingwa watarajiwa, mm nilikuwa sitaki kuamini mpaka dakika ya mwisho mana nilijua tu.

Ass'anal tangu lini wakawa serious, timu ina vitoto toto kibao alafu wanataka ubingwa, labda ubingwa wa nyoko.
 
Nasemajeeeeeeeeeee Ass'anal bingwaaa
IMG_20230414_092549.jpg
 
Huyu city aliyecheza Kama manjesta pale emirate

Tutamfanya hamna hapo kwake


Uzuri kimahesabu tunahitaji draw 2 tu ,Moja against yeye city

Nyingine na kiande yeyote

Uwezo tunao Nia tunayo

Kiukweli mechi vs Liverpool ndio mechi ngumu iliyokuwa inatuumiza kichwa

Hawa wengine Wana mpira gani wakutushambulia Sana


Mtu anakaa kabisa anasema mna mech ngumu na Newcastle, Chelsea ,
Tujikumbushe
 
Back
Top Bottom