The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Muone huyu kimaZinny Ni muhimu kuliko mchezaji yeyote kwa muono wangu, ndiye anafanya maamuzi magumu ya kuitoa timu chini kwenda juu kwa kuchukua Risk kubwa sababu ya uwezo wake
Kwa mechi tatu za mwisho nilizomuona Liverpool , kazi anayo aisee
Kwanza Arsenal Sasa hivi hawakubali kabisa ukae na mpira , ndio maana Ni timu Moja tu ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kutu dominate Tena 2nd half tayari tuna matokeo ,vs Brighton away .
Wengine wote Ni kuwapakisha Basi









