Hizi mbweha zina mdomo sana aisee acha tu City achukueHata Mimi sikutaka City wachukue
Ila ngoja aseno nao wakose maana sisi tukivyokosa mwaka jana walituona wazembe.
Wakadhani ni rahisi[emoji38]
Wanajipakia tu bus.
Achana na mimi[emoji23][emoji38]
Hii timu maneno yamekua mengi kuliko vitendo"Zinchenko"
Fight is still on, 7 more games to go na hii epl na sio Ligue 1, kila mtu apambane na mechi zake..Plus Leo ndo tunajua kumbe uzi una wadau wengi wamejificha. Wote utopolo mnakuja kujifichia huku[emoji28]
Nawatabiria treble man city mwaka huuNasemaje, Man City anashinda mechi zote za EPL na UCL
Acha kukariri soka juzi umeona jinsi timu inayoongoza ligi huko spain Barcelona ilivyogalagazwa natimu mbovu ya man utdNarudia tena kama timu inayoongoza ligi inacheza hivi, ligi ya uingereza ipo chini kwa ubora
Hajui, achana naeAcha kukariri soka juzi umeona jinsi timu inayoongoza ligi huko spain Barcelona ilivyogalagazwa natimu mbovu ya man utd
Acha kukariri soka juzi umeona jinsi timu inayoongoza ligi huko spain Barcelona ilivyogalagazwa natimu mbovu ya man utd
NimechekaAchana na mimi
Tunawaambia mkitaka ubingwa msipaki busHizi mbweha zina mdomo sana aisee acha tu City achukue
huoni chura hapa ni wewe, unaeonaga Ass anal ni bonge la timu, halifungiki.Vyura vimemind vinaniquote left, right and centre
Umepanik mno mkuu ndugu.huoni chura hapa ni wewe, unaeonaga Ass anal ni bonge la timu, halifungiki.
Huwa unakamtindio flani hivi kidogo kichwani.
Safari bado ndefu sanaSasa kama mbovu kwanin iongoze ligi nakwanin ushangae arsenal kuongoza ligi nakucheza vibaya leo... Idiot
Uliwaonya wadogo zako wakashupaza shingoJamaa anatutisha but the real truth huu ndio ukweli wa Kipara hanaga mzaha wana Gunners wenzangu,players na kocha waondoe presha na wawe very serious muda huu,tumekosa FA,Carabao na Europa tukasema tunaweka nguvu kwenye EPL ili tuwe na match chache so kwa sasa ni no excuse tunahitaji EPL liende kabatini Emirates[emoji120][emoji120]View attachment 2583580