Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa pressing&overloading.

Yan ukisikia baadhi ya fans wa hii team wanavoongelea team yao unaweza ogopa leta team yako uwanjan.

muulizen Liverpool izi draw za kabat alivojuta mwshn mwa ligi.. Yan nyie kwa sasa mshaingia kwenye mfumo wa City.. Kilichobak mnakijua sasa.

Hlf ndo mnataka mmfunge City nyumbani kwake nyakat izi City akiwa anataka ubingwa?(huu utan wenu ss umezid) Asanteni wagonga nyundo wa London

Mkipotezaga au kudraw kuna mashabik wenu uchwara uwa wanakuja na izi screenshot za kipumbav sijui Expected goals mara sijui mpr tumecheza sisi sema bahat yao
Screenshot_20230416_175450.jpg
 
Back
Top Bottom