Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal alitolewa Carabao cup ikaja excuse kombe halina impact, tukatolewa FA cup ikaja excuse tumelibeba sana,tukatolewa Europa ikaja excuse ya kuwa tunajipanga na Premier league trophy , now tumepoteza focus sijui excuse itakuwa ni nini, I don't know

Huku Kipara yupo Champions league, FA na Premier league yake wala haringi anabutua tu watu goal 3 na kuendelea huku sisi ambao tupo na Premier league pekee tunabomolewa na wapinzani
Kipara yupi unamuongelea hapa computerarsenal Guardiola au ETH? Maana hata kipara wetu TEN HAG bado yuko kwenye makombe matatu.
Screenshot_20230416_180840.jpg
 
Arsenal alitolewa Carabao cup ikaja excuse kombe halina impact, tukatolewa FA cup ikaja excuse tumelibeba sana,tukatolewa Europa ikaja excuse ya kuwa tunajipanga na Premier league trophy , now tumepoteza focus sijui excuse itakuwa ni nini, I don't know

Huku Kipara yupo Champions league, FA na Premier league yake wala haringi anabutua tu watu goal 3 na kuendelea huku sisi ambao tupo na Premier league pekee tunabomolewa na wapinzani
C tulikubaliana tucheze UCL msimu ujao tuu, mambo ya ubingwa yametoka wapi tena mkuu.? 😂
 
Back
Top Bottom