Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunamtaka Man City hata sshv maana Chelsea kashajifia [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
JESUS KASHINDIKANA
 
Saka leo ampishe Trossard Mapema 2H, yupo slow sana.
Hakuna link nzuri kwenye wing ya kulia kati ya saka na ben white,
Partey nikama hana muunganiko mzuri leo na ode au shaka
Pengo la zin linaonekana leo hasa kwenye kutuliza timu ila nna mashaka kama defensively asingetuchoma maana wapuuzi wana movement za hatar
 
Hii ndo game ya kupunguza gape la GD dhidi ya city.
Ila wachezaji wanacheza kama wanachukulia poa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom