Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bado Mansite, Chelsii na Nyukesto wanawasubiria wawapige miti.
Screenshot_20230416_175521_All%20Goals.jpg
 
Naanza kuamini Zinny ni mtu muhimu sana kwenye team yetu. Hua anampa sana support Partey na kuonekana bora. Anways game on, mapambano yaendelee tutakutana baada ya game 38. Overrr
 
Man City anashinda
Chelsea anapata draw/anashinda
Mnyonge kutoka pasipojulikana anawalisha vumbi.
 
Arsenal alitolewa Carabao cup ikaja excuse kombe halina impact, tukatolewa FA cup ikaja excuse tumelibeba sana,tukatolewa Europa ikaja excuse ya kuwa tunajipanga na Premier league trophy , now tumepoteza focus sijui excuse itakuwa ni nini, I don't know

Huku Kipara yupo Champions league, FA na Premier league yake wala haringi anabutua tu watu goal 3 na kuendelea huku sisi ambao tupo na Premier league pekee tunabomolewa na wapinzani
 
Back
Top Bottom