Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila mtu alianza kushabikia Arsenal kimpango wake, wengine tulianza miaka ya 90, wengine walianza baada ya 49 unbeaten, wengine sijui walianzia wapi! Kwa bahati mbaya hatukuwa na kikao cha pamoja cha kujadili timu zipi tuziunge mkono na zipi tuzipe kisogo, ingawa kuna kasumba kuwa shabiki wa Arsenal hawezi iunga mkono United. Sijui hii dhana imetokea wapi, coz hata Waingereza wenyewe hawako kihivyo... Ni kasumba za kwenye vibanda umiza vya kwetu. Mimi ni Gunner na leo I bet on United....

Umenena vema Mkuu, bongo hakuna ushabiki ni mikelele tu!
 
ukiweka man u na jiwe mimi nashabikia jiwe.
barca hawawezi kuipiga gunners wakawaacha man u.
patamu hapo.
 
Waungawana nipo porini game inaanza saa ngapi kwa saa za kibongo
 
Mimi nataka Timu inayosifika kwa kucheza mpira vizuri duniani ishinde. "Barcelona"
 
Nimekuwa nafikiri sana kuhusu huu mtanange wa UCL kati ya ManU na Barca. Mwishowe, nkajiuliza Hivi sie Arsenal leo tumshangilie nani?
1. Man U sababu tupo ligi moja, na ni vibonde wetu? (Lakini tulipopigwa na Barca walitucheka)
2. Barca sababu man u ni wapinzani wetu?
Tusaidiane wadau
Man Utd ni vibonde wa arsenal? Wewe umeanza kuangalia mpira mpira mwezi uliopita?
 
Mie leo niko MANU (sijasilimu lakini bado GUNNERS wa kufa na kuzikana). Nashangilia MANU kwa sababu katika mechi za kama mwezi mmoja za timu zote hizo mbili ambazo nilibahatika kuziona I was more impressed by MANU's entertaining and attacking football as compared to BARCA's wrestling football. Hopefully they (MANU) will be able to display that type of football one more time in order clinch UEFA CUP.

lionel.messi.getty.jpg
 
Nimekuwa nafikiri sana kuhusu huu mtanange wa UCL kati ya ManU na Barca. Mwishowe, nkajiuliza Hivi sie Arsenal leo tumshangilie nani?
1. Man U sababu tupo ligi moja, na ni vibonde wetu? (Lakini tulipopigwa na Barca walitucheka)
2. Barca sababu man u ni wapinzani wetu?

Tusaidiane wadau

shangilieni Barca na mjitahidi kufika fainali ya uefa angalau msimu mwingine!!..
 
shangilieni Barca na mjitahidi kufika fainali ya uefa angalau msimu mwingine!!..


BJ tuko timu moja leo nimeshatia uzi wangu mwekundu (kwa leo tu hahahahah lol!) kuwafagilia. Naomba msiniangushe na kuniharibia weekend yangu.
 
BJ tuko timu moja leo nimeshatia uzi wangu mwekundu (kwa leo tu hahahahah lol!) kuwafagilia. Naomba msiniangushe na kuniharibia weekend yangu.

aah BAK, I trust for the best too!!..thanks kwa support, you're a tru f/ball fan!!!..nimewasha hadi red candles, chilled red wine pia uzi wangu red nimevaa....Kaandunje Messi kale,mmh macho yangu yako kwake!!he he
Enjoy the match as I hope itakuwa very entertaining.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Toka lini shabiki akahama timu? au ndio kudandia gari kwa mbele! :nono:
 
Mimi leo nashabikia Man Utd.......Hawa Barca siwapendi hata kidogo,ni wapinzani wangu wakubwa kule La Liga.....
 
Back
Top Bottom