Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,738
why?Unajiongezea presha isiyo ya lazima...haya weee!!
Mara moja moja kila nikiangalia ligi ya england nimependezewa na Arsenal na kuvutiwa nao.....ni timu ambayo ukiangalia unasikia ladha ya footie.....after some reseach sikuwa na sababu ya kuishangilia na kuwa mnazi wa Arsenal