Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wasalamu watani..najua Ligi imekwisha..ila urafiki bado haujakwisha....

Salam kwa anko Wacha1.
 
Wasalamu watani..najua Ligi imekwisha..ila urafiki bado haujakwisha....

Salam kwa anko Wacha1.


Ameonekana akifuta vumbi kwenye makabati ya Emirates. Uwanja mpya lakini vumbi tupu limejaa ndani.
 
Wasalamu watani..najua Ligi imekwisha..ila urafiki bado haujakwisha....

Salam kwa anko Wacha1.

Hali yako kijana? Vipi utakuwepo Jumamosi jioni au leo ndio inamalizia matanga kabla hayajakukuta?

Ameonekana akifuta vumbi kwenye makabati ya Emirates. Uwanja mpya lakini vumbi tupu limejaa ndani.


khe khe khe kheeeeeeeeeee kawaulize Arsenal ladies wanakamua vikombe tu na wamekwisha pachika kingine mwaka huu, nyie wakwenu wako wapi? Kazi kuuza unga tu na kuiba kama m k w e r e khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nenda katafute kocha kwanza kabla ya kuja kutuwangia huku.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu unajitafutia magonjwa ya moyo bure bora uje Manutd.Jiandae kupata kikombe cha Babu wa Loliondo.


Hata wewe upo tumekuzoea wewe baada ya Jumamosi utakuwa maiti na hutaonekana hapa jukwaani hadi msimu mpya ngoja nikupe pole kabla ya msiba khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nenda katafute kocha kwanza kabla ya kuja kutuwangia huku.


...Top Managers wa Europe hakuna anayewataka hao, wanajua wanakwenda haribiwa CV zao bureee,
labda Abramovich aje kumchukua Abdallah Kibadeni sasa, '..heh hheehhhe he he!...'

Kwanini hawampandishi cheo kamanda Emenalo?
35ad103e48058fe6a56fabd3cd90170d.jpg
...yeye si ndio kaimu sasa?
 
Salamu wakuu.....Poleni sana Gunners wenzangu kwa msimu mbovu tuliokuwa nao,maana hali ilikuwa mbaya hasa mechi za mwisho,zingeingezwa mechi 3 ama 5 zaidi tungeumbuka,tungeweza hata kushika nafasi ya 7 kama sio ya 6......Tukeshe tukiomba ili AW aondolewe Arsenal,hana jipya,kaishiwa,tunahitaji meneja mwingine......

Hongera sana kwa watani Manda,Belo,Eqlypz,Idimi,Belinda Jacob,Mfarisayo na Red Devils wengine kwa kuchukua ubingwa wa EPL....Hakika mlistahili kuwa mabingwa....Nawatakia kila la heri katika mechi yenu ya kesho kutwa ya fainali ya UCL.....Nawaombea muwachape Barca 'wazee wa kubebwa'.....Tuko pamoja katika hili,nina hakika ubingwa ni wenu watani wangu....

Ombi kwa Eqlypz na mods wengine,kuna mtu anaitwa Rutashubanyuma,naona kaamua kuvamia kwenye majukwaa yetu na 'copy and paste' zake kwa kasi ya ajabu.......Habari zenyewe za magazeti anazoleta anafanya double posting hivyo kutujazia tu bandwith.....Si vibaya akawa anaweka links tu ama azipeleke habari hizo kwenye ile thread yake ya michezo magazetini
 
khe khe khe kheeeeeeeeeee kawaulize Arsenal ladies wanakamua vikombe tu na wamekwisha pachika kingine mwaka huu, nyie wakwenu wako wapi? Kazi kuuza unga tu na kuiba kama m k w e r e khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nenda katafute kocha kwanza kabla ya kuja kutuwangia huku.


Hahahahaha, at least ladies wanawaweka mjini. Pole sana, lazima utakuwa umbeba mafua kibao huko kwenye mivumbi....hahahahahaha!
Kocha sisi tayari tunae, biashara yote ilishafanywa kabla ya kumalizana na gentleman Ancelotti.
 
...Top Managers wa Europe hakuna anayewataka hao, wanajua wanakwenda haribiwa CV zao bureee,
labda Abramovich aje kumchukua Abdallah Kibadeni sasa, '..heh hheehhhe he he!...'

Kwanini hawampandishi cheo kamanda Emenalo?
35ad103e48058fe6a56fabd3cd90170d.jpg
...yeye si ndio kaimu sasa?



Huyu mpopo noma sana sijajua mpaka leo kwanini alipewa kazi, maana anaonekana kabisa hawezi na mchango wake ni negligible!
 
First signings of the summer?

NAlOiIzZX.jpg
It seems that the transfer market is in full swing and manager Arsène Wenger has wasted no time in bolstering the squad.
Reports have emerged today of the club completing the signings of Barcelona starlets Jon Toral and Hector Bellerin.- Arsena-mania

...mpaka kieleweke!
 
First signings of the summer?

NAlOiIzZX.jpg
It seems that the transfer market is in full swing and manager Arsène Wenger has wasted no time in bolstering the squad.
Reports have emerged today of the club completing the signings of Barcelona starlets Jon Toral and Hector Bellerin.- Arsena-mania

...mpaka kieleweke!
Bolstering the squad with 16 year old? Heehe mwendo mdundo.

Vipi huu uvumi wa kuwa Man Utd wanamtaka Samir Nasri?
 
Bolstering the squad with 16 year old? Heehe mwendo mdundo.

Vipi huu uvumi wa kuwa Man Utd wanamtaka Samir Nasri?

...si ndio hapo bana, another 'promising' players!
Samir Nasri hawezi kwenda Man United, ondoa shaka.
 
Nimekuwa nafikiri sana kuhusu huu mtanange wa UCL kati ya ManU na Barca. Mwishowe, nkajiuliza Hivi sie Arsenal leo tumshangilie nani?
1. Man U sababu tupo ligi moja, na ni vibonde wetu? (Lakini tulipopigwa na Barca walitucheka)
2. Barca sababu man u ni wapinzani wetu?

Tusaidiane wadau
 
Unauliza kamasi puani?

Hivi wewe huwajui mashabiki wa Arsenal Humu. Hebu fanya sampling ya recent post zao kwenye thread za Arsenal na Man U pia,

Ukikuta kuna hata mmoja anayeisuport Man U. Just let me have your M-pesa account.
 
2nawakaribisha kwa muda 2.ila ha2taki kelele mzomeane wenyewe sisi kazi ye2 soka 2 ha2na majigambo
 
arsenal damu bt leo nipo barca,although walitutoa bt i cant shout 4 man u . . . .
 
Kila mtu alianza kushabikia Arsenal kimpango wake, wengine tulianza miaka ya 90, wengine walianza baada ya 49 unbeaten, wengine sijui walianzia wapi! Kwa bahati mbaya hatukuwa na kikao cha pamoja cha kujadili timu zipi tuziunge mkono na zipi tuzipe kisogo, ingawa kuna kasumba kuwa shabiki wa Arsenal hawezi iunga mkono United. Sijui hii dhana imetokea wapi, coz hata Waingereza wenyewe hawako kihivyo... Ni kasumba za kwenye vibanda umiza vya kwetu. Mimi ni Gunner na leo I bet on United....
 
Back
Top Bottom