hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,683
Rashford nje miezi miwili ,una habari ?au unapayuka tu humueti hamna mtu anaepaki basi lile mlilopaki kipindi cha pili lilikua behewa la treni?
Hivi mnamjua Liverpool akiwa Anfield nyie kima?
Tena bahati yenu mngejifanya kutaka kupishana 7up ya nyumbu na nyie mngeikunywa vizuri tu kima nyie.
#Arsenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023




