

Timu yetu ya Arsenal bado ana mechi ngumu narudia ngumu 3 vs Manchester City, Newcastle na Brighton hizi akipata positive results tunakuwa tumemaliza mchezo nakukumbusha hamis77 ya Anfield imeisha tayari uwe sometimes unapenda kutuskiliza watu kama sisi usiweke sana mahaba Goodnight guys tukutane next weekSio mbaya tumepamba sana.
Liverpool wakiwa Anfield ni tofauti kabisa, msimu huu kafungwa na Leeds tu akiwa home.Tuna timu ya kijinga sana,tunaongoza goli mbili lakini tunashindwa kuzilinda,utoto mwingi
Kuna watu walishaanza kumtukana Rasmdale. Kawaokoa sana.Kipa katubeba sana leo saves nne za maaana.
We unazani Liverpool ni sawa na leeds tushukuru hata tumepata point moja..hiiNimeshuhudia mpira wa kipuuzi si mchezo.
Kati ya sisi na wao sisi tunauhitaji huu ushindi kuliko wao.
Lakini ni nani ameonyesha desire na passion? Wao
Nani alikua anakimbia kuliko mwenzake? Wao
Nani alikua anahakikisha loose space zote anakuepo? Wao
What the https://jamii.app/JFUserGuide is this? Timu siielewi inataka ikabeje, we are always present kwenye loose space leo instructions zilikua kupaki basi? We already have a lead ghafla mchezaji wetu akipata mpira humuoni kama ana hamu ya kusogea mbele badala yake unamuona anasimama anapunguza mwendo.
Na huu ndiyo uzoefu ambao City anatuacha nao.
Mid zetu zimepiga shots ngapi nje ya box? Forwards? This is bullshit
Arsenal kubeba au kutobeba ubingwa suala lipo mikononi mwa City.Timu yetu ya Arsenal bado ana mechi ngumu narudia ngumu 3 vs Manchester City, Newcastle na Brighton hizi akipata positive results tunakuwa tumemaliza mchezo nakukumbusha hamis77 ya Anfield imeisha tayari uwe sometimes unapenda kutuskiliza watu kama sisi usiweke sana mahaba Goodnight guys tukutane next week
Kwan tumefungwa ? Nikusikilize kwa lipi ? Si wewe humu uligoma hatugombei ubingwaTimu yetu ya Arsenal bado ana mechi ngumu narudia ngumu 3 vs Manchester City, Newcastle na Brighton hizi akipata positive results tunakuwa tumemaliza mchezo nakukumbusha hamis77 ya Anfield imeisha tayari uwe sometimes unapenda kutuskiliza watu kama sisi usiweke sana mahaba Goodnight guys tukutane next week
Umeona sasa Anfield palivyo!?Sio mbaya tumepambana Sana
Liverpool akacheze conference