Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wigan safi sana kubaki ,inabidi wajitahidi na wao.Al habasy kawasaidia sana wamuombe asiondoke japokuwa timu kubwa nyingi zinamtolea macho.
 
Ebanae maisha at the bottom of the league mzozo mtupu kama una matatizo ya moyo, Ian Hollway anasema hawakushuka daraja kwa sababu wamefungwa leo bali kwa kushindwa mechi nyingine. Nimemind jamaa kushuka daraja SAF alitakiwa awape droo.
 
Ebanae maisha at the bottom of the league mzozo mtupu kama una matatizo ya moyo, Ian Hollway anasema hawakushuka daraja kwa sababu wamefungwa leo bali kwa kushindwa mechi nyingine. Nimemind jamaa kushuka daraja SAF alitakiwa awape droo.

Wenyewe tu, umeona nafasi ya kwanza jamaa alivyo kosa? goli la park uzembe wa beki wao.
 
yani nyie Arsenal vilaza kweli...! Tena mnabahati hii EPL ingeongezewa wiki 3 tu mcinge cheza uefa nyie.!
 
...ama happy Birmingham kushushwa daraja,
I hope msimu ujao Stoke nao wataporomoka!
 
Wasalaam watani...sijapata hongera zangu nazostaili ila mm sina budi kuwashukuru kwa kutushindikiza na nyie kuishia nafasi ya nne, mmejitaidi sanaaaa...niliwakadiria nafasi ya 8 msimuu uu ukiisha..asante kwa kutupa kampan.

Naomba tuungune jmosi kumtokomeza mdudu Barcelona.
 
errrrrr! nimewasaha kuwaaga apo juu...kikwetu tunasema 'sullah bulunji bassebo na banyabhoo' yaani mniote mkiwa mmelala.
 
yani nyie Arsenal vilaza kweli...! Tena mnabahati hii EPL ingeongezewa wiki 3 tu mcinge cheza uefa nyie.!
Uefa ndio nini hebu tuondolee vumbi hapa. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sikuwa mpenzi wa timu za England....ila sasa msimu ujao naanza rasmi kuishabikia Arsenal FC...Hodi hodi washabiki wa Arsenal
 
Umepotea sana bora ushabikie bolton au everton,ukishabikia arsenal unawezakufa kwa presha maaana mtaanza kwa kutafuta kombe na mwishoe mtatafuta nafasi ya 4,kama vipi karibu man.u////
 
umepotea sana bora ushabikie bolton au everton,ukishabikia arsenal unawezakufa kwa presha maaana mtaanza kwa kutafuta kombe na mwishoe mtatafuta nafasi ya 4,kama vipi karibu man.u////
wacha majungu wewe ye kashasema arsenal we unaleta majungu mkuu vipi??
 
Back
Top Bottom