Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
blackpool wamefungwa goli la kizembe ,ngoma yao ngumu mpaka sasa.
Blackburn 1 Wolves 0, mshindi wa mechi hii anabakia pl.
Blackburn 1 Wolves 0, mshindi wa mechi hii anabakia pl.
Tumesawazisha Van prsie.
kila la kheri AW na crew yako..siangalii mechi ila nitasikilizia FT imekuwaje!!!
City anaongoza 1 - 0 dhidi ya Bolton, Liverpool yuko nyuma goli moja.
Man City 2 - 0 Bolton naona hadi Dzeko kafunga leo.wametufunga la pili , ngoma yetu ngumu sie lol.
Man City 2 - 0 Bolton naona hadi Dzeko kafunga leo.
Man City 2 - 0 Bolton naona hadi Dzeko kafunga leo.
Mimi nilitaka wale wakulima wa Wolves washuke daraja... Naona Fulham wako 10 kazi kwenu sasa.Wigan sasa kapata nafuu, blackpool sasa anaweza kushuka matokeo yakiendelea kuwa hivi lool
Mimi nilitaka wale wakulima wa Wolves washuke daraja... Naona Fulham wako 10 kazi kwenu sasa.
Wigan 1 - 0 Stoke
Spurs 1 - 1 Birmingham
Keshaonja Premiere League lazima abaki, kama Scott Parker tuu... Liverpool wakimchukua nadhani Parker atakwenda Spurs.Blackpool out sasa, Owen kawamaliza kabisa.
Huyu Charlie Adama mashine naona Liverpool watamchukua sasa kirahisi.
Keshaonja Premiere League lazima abaki, kama Scott Parker tuu... Liverpool wakimchukua nadhani Parker atakwenda Spurs.
Birmingham wanashuka najua washabiki wengi wa Arsenal mtafurahia, naona West Brom wamesawazisha duh.Wolves wamepata goli ,kwahio Birmingham anaweza kushuka sasa matokeo yakiendelea kuwa hivi hivi.
Noma sana kwa fans wa hizi timu presha juu.