Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
hawa ndio watanzania wenye amani na ukarimu walioachiwa na Baba yao wa taifa Nyerere..Utakuja kuukana hata mwili wako na jinsia yako pia
U dunno me showty....Kwani ulipokuwa Mtanzania ulikuwa na mchango gani kwa taifa hili zaidi ya kuwa mzigo? Tuna watu million 43, tungependa wapungue. Ni vyema ukaondoka na familia yako yote.
kawasalimie mungiki...... tell them people of nyerere tunaishi kwa amani.....!
Na wewe huchoki kurukia thread za watu na hayo mambo yako. Watu wanakuchukia wewe unang'ang'ania tu!Kumbe wengine humu ni people wa nyerere! mie simo. Nimetoka kwa udongo nitarudi kwa udongo, kama alivyorudi nyerere.
utajenga ri nchi gani weye? wenzako wanakula kiulainii....alafu mitanzania bana sijui ya wapi....Ok, wasalimie wakenya.. Sisi bado tunaendelea kupambana kuijenga Tanzania yetu.
Kwa hiyo hao waliogombana kwa sababu ya timu za nje ndo wamekufanya uhame nchi? Haa haa haa! Si useme tu nyumba yako inabomolewa kupisha ujenzi wa miradi!... yaaani hii mijitu inagombana kisa timu za ulaya ambazo hawataki kabisa zishabikiwe na nyie weusi.....mitanzania bana