Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Mkuu tuliwaambia kuhusu Domino Effect ya kile kichapo cha Birmingham wakasema tuna chuki binafsi, ooh mwaka huu wao, mara blah blah!!Nakumbuka kumwambia Wacha hayo maneno na kwamba pia watamaliza nafasi ya nne, hii ilikuwa mara tu baada ya kile kichapo kutoka kwa Birmingham pale Wembley! Lakini jamaa kama kawaida kaleta ubishi bila kuangalia facts, sasa kaingia mitini na aibu mbaya.