Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimetazama Murdryk mara kadhaa, nadhani he wasn’t a right signing for arsenal. Ni mapepe
Mentality hayupo sawa ukimuangalia ,Ukweli alienda Chelsea kwa kushinikizwa, klabu yake ilitufanyia roho mbaya Arsenal

The Athletic walifanya mahojihano na Sporting director wao anasema Arsenal tulikuwa tunawasiliana na mchezaji bila kuwahusisha wao hivo wakaona watukomoe wawauzie Chelsea

Anasema ofa ya Arsenal na Chelsea zilikuwa sawa tu ,Chelsea €100m na mshahara wa £97k per week

Arsenal ofa yao ilikuwa €95m na mshahara wa £87k per week

Dakika za mwisho hawakutaka Tena kuwasikiliza Arsenal Bali wakawapa mwanya Chelsea tu.,plus ahadi ya kusaidia wahanga Ukraine

Ukiangalia hata body language ya mudrky , ukiona hata Zinchenko alivyoongea nae wiki iliyopita ,utajua Kimwili yupo Chelsea ila kiakili hayupo pale

Maisha yake Chelsea yanaweza kuwa magumu sana
 
Sijatizama game, ila partey ni mtu mwingine, kwa jinsi anvyocheza anavyonyumbulika jamaa fundi saana, ni mtu sahihi zaidi kwa timu inayotokea chini.
Dah! Yani mkuu unakosa kuangalia game ya Arsenal halafu una furaha kabisa.

Mimi siwezi aisee.. Arsenal kuiona mara moja tu kwa wiki bado naona haitoshi. Natamani niione kila siku!

Nikimaliza kuangalia mechi naweka notification in case kama kuna marudio, naenda YouTube kwenye page ya Arsenal nacheki highlights, Bench cum, In Focus..

Hhm..

Nisipoangalia hii Arsenal itanipa kisukari, mana sio kwa utamu huu!😁
 
Semeni yote mtayosema, ila mentality ya huyu jamaa ni another level

Yani kafanyiwa sub amemaindi maana alikua anasaka hat trick yakeView attachment 2573277
Jamaa naamini ataongeza sharpness ya kufunga kwenye pre-season kabla ya kuanza msimu mpya.
Kwa sasa tumuache amalizie msimu tu.

Ila Arteta angemwacha kidogo tu basi angeweka hat trick.
 
Wachambuzi humu Arsenal JF walimpa sifa za kutosha kumbe boya tu tupunguze uchambuzi wa sifa nzuri kwa kila player anayehusishwa na Arsenal wengine mazoba tu
mapema sana kusema ivyo,
usiendeshwe na hisia za wivu kisa tulimkosa mudryk, binafsi naona kipaji chake kikiwa dhahiri shahiri sema mazingira tu aliyoyakuta chelsea
 
IMG_20230401_223413_816.jpg
 
mapema sana kusema ivyo,
usiendeshwe na hisia za wivu kisa tulimkosa mudryk, binafsi naona kipaji chake kikiwa dhahiri shahiri sema mazingira tu aliyoyakuta chelsea
Sema huyu Jamaa Since day one, hakuwahi kua na iman na mudryk wala sio kisa hakusajiliwa na Arsenal, anasimamia kile alichokiona kabla hata Chelsea hawajaingilia kati kwenye hilo Deal.
 
Dah! Yani mkuu unakosa kuangalia game ya Arsenal halafu una furaha kabisa.

Mimi siwezi aisee.. Arsenal kuiona mara moja tu kwa wiki bado naona haitoshi. Natamani niione kila siku!

Nikimaliza kuangalia mechi naweka notification in case kama kuna marudio, naenda YouTube kwenye page ya Arsenal nacheki highlights, Bench cum, In Focus..

Hhm..

Nisipoangalia hii Arsenal itanipa kisukari, mana sio kwa utamu huu!😁
Mkuu nipo shambani, game mpaka town, kingine kilichonitia uvivu ni matokeo ya city, nilitgemea liva apate hata suluhu. Ningeenda town kutizama game kwa raha mustarehe.
 
Back
Top Bottom