Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,065
Taungalia jinsi ya kumpa hat trick jesus hapa
The Boss kampumzishaTaungalia jinsi ya kumpa hat trick jesus hapa
match fitness hana ila kimwiliThe Boss kampumzisha
Liva watateseka sanaKuna nyumbuz nilikua naangalia nao mpira eti walikua na imani Leeds watapata sare kama walivyopata dhidi yao.
Mechi imeisha wanasema wataongea baada ya mechi ya Liverpool.
Hawa jamaa watahama hama mpaka mechi ya mwisho tukichukua ubingwa watahamia msimu ujao!![]()
Sijatizama game, ila partey ni mtu mwingine, kwa jinsi anvyocheza anavyonyumbulika jamaa fundi saana, ni mtu sahihi zaidi kwa timu inayotokea chini.Sasa hivi zile kelele za kumlinganisha Jorginho na Partey zimeisha.
Alivyotoka Partey unaona kabisa timu inakosa balance.
Nyie huyu Partey asiumie aisee, kama kweli tunataka ubingwa!
Partey is second to none on his roleSijatizama game, ila partey ni mtu mwingine, kwa jinsi anvyocheza anavyonyumbulika jamaa fundi saana, ni mtu sahihi zaidi kwa timu inayotokea chini.
Jesus ana hatari Sana aisee ,Arteta alisema ana create chaos ,Semeni yote mtayosema, ila mentality ya huyu jamaa ni another level
Yani kafanyiwa sub amemaindi maana alikua anasaka hat trick yakeView attachment 2573277
At times when I look the way he plays, I think it's a dodged bullet for us.Nimetazama Murdryk mara kadhaa, nadhani he wasn’t a right signing for arsenal. Ni mapepe
Wachambuzi humu Arsenal JF walimpa sifa za kutosha kumbe boya tu tupunguze uchambuzi wa sifa nzuri kwa kila player anayehusishwa na Arsenal wengine mazoba tuNimetazama Murdryk mara kadhaa, nadhani he wasn’t a right signing for arsenal. Ni mapepe
Huyu mwamba na zinny.. morali yao ipo juu saana..Semeni yote mtayosema, ila mentality ya huyu jamaa ni another level
Yani kafanyiwa sub amemaindi maana alikua anasaka hat trick yakeView attachment 2573277
Finishing nzuri ataipata kwenye training kwa jinsi alivyo anaweza kufanyia mazoezi na akaongeza ufanisi kiasi katika hiloJesus ana hatari Sana aisee ,Arteta alisema ana create chaos ,
Jamaa anakaba ,anaenda winga , anakupa dribbling , anakupa energy ya kutosha
Angekuwaga na finishing ya kiwango kikubwa angekuwa anafananishwa na Delima ,waliomuona Delima ambaye ndio Icon ya no.9 sio wale wakusubiri kulishwa watakuwa wananielewa
Jesus kanyimwa finishing ya kiwango
Kwaio ni Pepe mwingine au?Wachambuzi humu Arsenal JF walimpa sifa za kutosha kumbe boya tu tupunguze uchambuzi wa sifa nzuri kwa kila player anayehusishwa na Arsenal wengine mazoba tu
Daahh msimu ujao utakua wa moto sanaFinishing nzuri ataipata kwenye training kwa jinsi alivyo anaweza kufanyia mazoezi na akaongeza ufanisi kiasi katika hilo