verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Msipoweka umakini next season mtakua kwenye relegation battleLeo twapigwa msitutegemee
Msipoweka umakini next season mtakua kwenye relegation battleLeo twapigwa msitutegemee
Hawa tunaenda kuwapiga za kutosha pale AnfieldHawa Liverpool hawatishi Tena dah, had nimesikitika,
Kiungo chao hakikai na mpira , beki yao inakuwa vulnerable muda mwingi
Dakika ni ya 77Nyie sio mlipigwa goal 3 na city Bora Liverpool anaonyesha uai kidogo.
Utofauti ni goal moja tu.Dakika ni ya 77
Liva kapigwa 4 tayari
Mshaanza kuogopa. 😂Hivi kwanini ile ya pili ya Rodri isiwe red card?
Man City wakifikia stage hii, huwa wanabebwa wazi wazi.
Nakumbuka kuna msimu nyuma Rodri huyu huyu alishika mpira akafunga na goli likakubaliwa.
Ushabiki unakufanya mtu uwe mjinga.Hahah! Arsenyani hamna bahati. Timu za kuifunga City kwa mechi zilizobaki zimeshaisha.
Ila nyie mnaweza kufungwa na timi yoyote katika mechi zilizobaki. 😂
Arsenal hawezi kubeba ubingwa, Pep na EtH wakiwepo EPL.
Utofauti sisi hatukua nyuma ya mpira tukiutafuta kwa dk 90Utofauti ni goal moja tu.
Kila mtu ashinde mechi zakeHahah! Arsenyani hamna bahati. Timu za kuifunga City kwa mechi zilizobaki zimeshaisha.
Ila nyie mnaweza kufungwa na timu yoyote katika mechi zilizobaki. 😂
Arsenal hawezi kubeba ubingwa, Pep na EtH wakiwepo EPL.
Kuna majamaa wa united wamekuja kubisha.Hawawez kukaaa na mpira kabisa, wakishambuliwa tu beki yao matatani
Sasa hivi ana 27 yaani umri unaotakiwa awe kwenye prime yeye yupo benchi.Itakua alifata mafao
Atakula benchi hadi makalio yaote sugu
Moja bilaHoya game ngapi ngapi huko?