Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Niliwauliza ilo swali wiki iliyopita, Man Citeh sasa hivi wana moto na hawataki mambo ya kuqualify for group stages watawapita Arsenal tu.
Nyie hamjui hali tulikuwa nayo sasa hivi, tunasikitisha sana.sipendi sana mechi za ku qualify for group stages zinachanganya habari tu.