Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona leo Manure wametoa bahasha kwa refa ili Arsen-OL wafungwe..,
Tumewazoea manure.., khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Wandugu leo Wacha1 kaniomba nije nimrepresent., so ndo ujumbe wake wa leo huo
 
Mkuu tuko pamoja.

Kusema kweli hata hio nafasi ya tatu hatuoneshi kama tunaitaka na tutaenda kuwa wanne .sioni kama tutachomoka kwa fulham kwa stahili hii.

Kuweza kumaliza top 4 msimu ujao tunaitaji mbadiriko makubwa sana.liverpool,spurs na city wataleta ushindani mkubwa sana.

Tusubiri tuone pirika za summer na tutapata kuona msimu wetu ujao utakuwa vipi.

CL tutacheza wala hakuna wasi wasi nashangaa wenye wasi wasi ni wapinzani wetu inachekesha sana khe khe wamechoka kukaa kwenye majukwaa yao sasa wanakuja kuwanga huku kwa Wivu. hebu rudini kwenu mkasome tabloids za Ruta. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

What happened today? Didi all 3 teams Liverpool, Arsenal and Chelsea gave away the games? Yaani hakuna motivation au sense of urgency?

THe way Chelsea played today, demonstrates the whole picture of how thier season was this year! Mediocre just like jamaa wa Magogoni!

Tatizo kubwa la EPL sasa ni Manure kutembeza bahasha sasa kama jana wao ndio walikuwa wanamsonga refa bila kubebwa jana wangetolewa nishai na hilo wanalifahamu. Ukiwaambia maneno mengi kama wamekula pili pili manga wala haina raha timu kubwa kubebwa kwa mbeleko. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee

Wapi Wacha1 boy?

Angalia hata unaona aibu kusheherekea ushindi kwa sababu ya kubebwa unakuja kudeka huku . .... ..... ... phew aibu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Naona the Orijino Mungiki Wacha Wacha katokomea, hata picha za kuonyesha Cech akizubaa ile free kiki hakuna?

Wacha fujo wewe Mungiki Brother yupo Kibera maisha yamemshinda Tanzania baada ya kuwekwa kimada kama Smatta khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona leo Manure wametoa bahasha kwa refa ili Arsen-OL wafungwe..,
Tumewazoea manure.., khe khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Wandugu leo Wacha1 kaniomba nije nimrepresent., so ndo ujumbe wake wa leo huo

Huwa situmi kimburu mimi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mzee katu cost sana kwa kudharau kufanya usajili january .

Man city akimfunga stoke jumanne wanachukua nafasi ya tatu.

Ni upumbavu sana.

Tulichemsha tokea mechi na Bolton.Babu huyu hanaga plan B,.very predictable.Trophy was there for taking in March,lakoni wapi...............!!!!Kero kero kerooooo,timu hiii stress tuuuu..
 
Tulichemsha tokea mechi na Bolton.Babu huyu hanaga plan B,.very predictable.Trophy was there for taking in March,lakoni wapi...............!!!!Kero kero kerooooo,timu hiii stress tuuuu..
Wenger hana pressure ya ku win trophies ndo maana hali ipo hivyo, na hata mabosi wake hawana shida sana ya vikombe ndo maana Wenger yupo comfortable, ataendelea na mipango yake taratibu mpaka atakapopata kikosi kilicho ndotoni mwake kitakachoiteka ulaya na mashabiki, kama ambavyo thread hii ilivyofikisha zaidi ya pages 620!!!
 
Wacha1 ebu tuangalie MOTD2

Hadi pale FA watakapobadili mtindo wa kuchagua marefa mtaendelea kushinda sio kisoka bali kwa bahasha khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nafahamu roho inawauma kwa sababu mwenye raha huwa hatangi tangi kutafuta faraja.
 
Hadi pale FA watakapobadili mtindo wa kuchagua marefa mtaendelea kushinda sio kisoka bali kwa bahasha khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nafahamu roho inawauma kwa sababu mwenye raha huwa hatangi tangi kutafuta faraja.

Wacha1

Tatizo la Arsenal sio marefa....Tatizo no kocha/meneja Arsene Wenger,

-AW hana jipya tena,ameishiwa,Arsenal tunahitaji meneja mwingine na si huyu,ningekuwa na uwezo ningemfukuza tangu mwaka 2007,hana mbinu za ushindi na hawezi tena kuijenga timu inayoweza kuchukua ubingwa wa EPL,na cha kushangaza haoneshi hata kujutia maumivu anayotuletea sisi mashabiki wa Arsenal,na tayari kasikika akiendeleza upuuzi wake wa kusema kwamba haoni umuhimu wa kusajili mchezaji yoyote yule,kweli?????...

-Arsene kwa uwezo aliofikia sasa ni bora arudi tu Ufaransa akafundishe Ligue 2 maana hastahili hata kufundisha Ligue 1(yes I said it,hastahili hata kufundisha Ligue 1),Arsenal hatuhitaji kuwa na wachezaji wazembe na walegevu aina ya Sebastian Squillaci,Laurent Koscienly,Abou Diaby,Marouane Chamakh,Nicklas Bendtner,Manuel Almunia,Jens Lehmann,Lucas Fabianski,Thomas Rosicky na wazembe wazembe wengine....Pia Arsenal tunapaswa kujua kwamba ili timu ichukue ubingwa inabidi ijengwe na wachezaji madhubuti,na kuwa na timu iliyo imara ni gharama,sasa sisi tumekuwa bahili kiasi cha kutia aibu.....

-AW anapaswa kufukuziwa mbali,simpendi kwa kweli na siipendi tabia yake ya kuwakumbatia wachezaji wafaransa wenzake anaowanunua kwa bei za madafu na wasio na viwango....

AW akiendelea kuwepo Arsenal tutaendelea kuwasindikiza Man Utd,Chelsea(na tukizubaa yetu itakuwa nafasi ya 6 nyuma ya Man City,Spurs na Liverpool ambao wanarudi kundini kwa spidi ya ajabu........

Bala
 

# kudadaaadeki wallah...
Man Citeh haooo nao weshatu overtake! Wamewapiga stoke 3 - 0.
One (final) Game to Go! Msimamo wa ligi mpaka sasa;

1st, 77 pts Manure
2nd, 71 pts Chelski
3rd, 68 pts Man Citeh

4th, 67 pts Arsenal!
 

# kudadaaadeki wallah...
Man Citeh haooo nao weshatu overtake! Wamewapiga stoke 3 - 0.
One (final) Game to Go! Msimamo wa ligi mpaka sasa;

1st, 77 pts Manure
2nd, 71 pts Chelski
3rd, 68 pts Man Citeh

4th, 67 pts Arsenal!

Tumevuna tulicho kipanda mkuu .
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Naona mmerud kwenye nafasi yenu..lol! inauma lakini..duuh!
Nakumbuka maneno ya Peasant, ....' we will finish ABOVE' u'.....

Ushabiki kaz kwelkwel...
 
Naona mmerud kwenye nafasi yenu..lol! inauma lakini..duuh!
Nakumbuka maneno ya Peasant, ....' we will finish ABOVE' u'.....

Ushabiki kaz kwelkwel...

Arsenal's 2003-04 side unbeaten imebaki Olden Times.Itachukua muda mrefu sana kujirudia.Na mwakani kazi ipo kama hawatofanya usajili wa maana wategemee nafasi ya Sita. Deem!  
 
Naona mmerud kwenye nafasi yenu..lol! inauma lakini..duuh!
Nakumbuka maneno ya Peasant, ....' we will finish ABOVE' u'.....

Ushabiki kaz kwelkwel...



Nakumbuka kumwambia Wacha hayo maneno na kwamba pia watamaliza nafasi ya nne, hii ilikuwa mara tu baada ya kile kichapo kutoka kwa Birmingham pale Wembley! Lakini jamaa kama kawaida kaleta ubishi bila kuangalia facts, sasa kaingia mitini na aibu mbaya.
 
Back
Top Bottom