Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pia Gorginho sio wa kutegemea hata kidogo, sioni kama ni mzuri uwanjani kama watu wanavyomsifu, pia goli kufungwa kasababisha yeye
Sisi kama chelsea Jorginho tulikuwa hatumkali na Ndio mchezaji alikuwa anaongoza kwa criticism za mashabiki pale darajani baada kuwapa ndio mashabiki wenzako wa Arsenal wakawa baadhi wanamsifia
 
Arsenal inabidi muwe serious kweli kweli mnajua timu iliyopo nyuma yenu inatisha kiasi gani inapofika hii miezi kazeni kweli kweli.
1678799639472.jpg
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
 
Mashabik wenu wengne wanaona lbd ndo vzr.. Sio vzr hata kdg ukiwa unafukuza na Pep na city kwny ligi tena gape lenyw point 5.

Arsenal msimu huu mkienda bila kikombe asee mtakua ni wazembe sana tena sana, Yan bora kocha na wachezaj wajue wanatkiwa kufia uwanjan kwny ligi wawape washabik wao walau furaha msimu huu.. Hype yote hii mkienda kapa maneno ya wapinzan mtajuta.
Labda wachukue kombe la uji, ila nakuhakikishia hao Kenge hata ligi hawachukui.
 
Back
Top Bottom