Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa jamaa hatari sana midfield yetu imezidiwa kabisa Arteta amuingize Odegaard tu timu inaogopa kabisa kucheza kuanzia nyuma kila mtu anaukimbia mpira nafikiri Trossard pia inamfaa hii mechi.jamaa kila mchezaji anakaa na mali na anakimbia Arteta atulize kichwa sana
Saliba hayupo ,hivo hatuwez kuanzia nyuma na beki holding atatuchoma

Saliba injury yake iwe ya kawaida , Kuna mechi 2 zinakuja zote tupo home Kisha Kuna international break
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
Xhaka na Vieira wana njano nilazima ampunguze mmoja tukipungua hii mechi itakua ngumu zaidi kwakua watu wanakimbia sana ukimgusa mtu tu unakula umeme
 
Kikosi hiki hiki kinawatoa hawa Sporting.

Hao akina Partey, Saka, Trossard na Ødegaard labda awaingize wakapashe tu, lakini still hii mechi ni ya akina Jorginho, Fabio na Nelson.

Baadae akiingia KT itapendeza zaidi.
Not true labda huangalii game bro hali ni mbaya kama tunataka kwenda quarter finals hawa watu kwa sasa wana umuhimu tatizo defenders wetu wawili wameumia zimebaki nafasi 3 pekee so mmoja kati ya hao hatacheza
 
Not true labda huangalii game bro hali ni mbaya kama tunataka kwenda quarter finals hawa watu kwa sasa wana umuhimu tatizo defenders wetu wawili wameumia zimebaki nafasi 3 pekee so mmoja kati ya hao hatacheza
Sijui why Arteta alimtoa Jesus na kuacha kina Vieira hapo mid
 
Kweli sporting ndio wakutusumbua namna hii?kina Bayern itakuwaje sasa?
Bora wewe umeona, umepoteza beki wawili na hatujui hali ya Jesus.😀😂😅😂😂😂😂😂😅😂😂😅😂😂😂😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🥹
 
Back
Top Bottom