Wazee wa atmosfia wanakwambia emarate hachomoki mtu kuna atmosfia ya kipekee, cha ajabu wanaume tukaja kujipigia palepale na atmosfia yao.Atmosfea imetoweka..
Tena alifeli pakubwa sana baada ya kuona jua linakaribia kuzama ndio anaingiza watu wa mpira.Tuache utetezi jana kafeli
Hongera sasa kwa ushindi mzeeSporting leo wajiandae , Emirates huwa hatucheki na kimaView attachment 2554329
Nilitaka nishangae Arse8 ndio wa kumfunga Sporting LisbonMsako wa mbwa mwitu huu mnapelekewa nyie pimbi. Na golinla mwaka mmepigwa.
Pambaf.......
Sikuelewa kwanini Jorginho na Vieira walikua uwanjani hadi dakika ya 60 na game ilikua imewakataaTena alifeli pakubwa sana baada ya kuona jua linakaribia kuzama ndio anaingiza watu wa mpira.
Umepoteza mabeki wa2 muhimu kwa injury still na mechi ukapoteza.
Kwa nikitie namba kapat kutokna jesus kuwa majeruhi na niketie position yake no9.Ila trossad na martinel kazi hipoKwa performance ya Trossard, Nketiah ndio yupo hatiani kukosa namba
Hili swali huwa najiuliza sana, Arsenyani kucheza mpira mzuri kumewasaidia nini?Nyie mnasema tunachezaga mpira wa ujanja ujanja tulishawaambia hapa kama ni rahisi kucheza mpira wa ujanja ujanja chezeni hata msimu mmoja tu mbebe hata ueropa.
cheki kilicho wakuta sasa tuonane mwakani tu nyie ni sawa na yanga nzuri kwenye ligi kimataifa bado sana komaeni kwanza hapo Epl.
Namsipo jiangalia hata EPL mtakosa najua mnajua mnakimbizana na nani mkaze kweli kweli.View attachment 2554701
Arsenane Draw ya Europa saa nane
Sijui Arsenane tunapangwa na nani?


...