Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

KENGEEEEEEEEEEEEEEÈEEEEEEEE NYIE
Screenshot_20230317_074558_All%20Goals.jpg
 
Kwanza Arteta kakosea mwanzo kumuanzisha Ramsday, ilikua haina umuhimu kumuanzisha, yule kipa mmarekani asingetoka golini kufungwa goli lile la kipuuzi
 
Arteta ni mbaguzi, anatengeneza mazingira ya kumfukuza Tierney wakati ni mchezaji mzuri, Aron hakustahili kuanza kabisa goli kafungisha yeye kaharibu kila kitu
 
Pia Gorginho sio wa kutegemea hata kidogo, sioni kama ni mzuri uwanjani kama watu wanavyomsifu, pia goli kufungwa kasababisha yeye
 
Nyie mnasema tunachezaga mpira wa ujanja ujanja tulishawaambia hapa kama ni rahisi kucheza mpira wa ujanja ujanja chezeni hata msimu mmoja tu mbebe hata ueropa.

cheki kilicho wakuta sasa tuonane mwakani tu nyie ni sawa na yanga nzuri kwenye ligi kimataifa bado sana komaeni kwanza hapo Epl.

Namsipo jiangalia hata EPL mtakosa najua mnajua mnakimbizana na nani mkaze kweli kweli.View attachment 2554701
Hili swali huwa najiuliza sana, Arsenyani kucheza mpira mzuri kumewasaidia nini?

Sisi tunaosemwa tunacheza mpira wa ujanja-ujanja tumefika robo fainali za makombe yote na tayari tumebeba Carabao Cup.
 
Back
Top Bottom