Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,128
- 4,859
Wazee wa atmosfia wanakwambia emarate hachomoki mtu kuna atmosfia ya kipekee, cha ajabu wanaume tukaja kujipigia palepale na atmosfia yao.Atmosfea imetoweka..
Jana wamefungashiwa virago palepale kwenye atmosfia yao.
Halafu ukiwakuta humu wanavyodanganyana sasa, emirates nyenyenyenye!