Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nawapa pole alafu naendelea kulala ntakuja kuwacheka asubuh
20230317_005906.jpg
 
Arteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana
Hii ndio ilikuwa trophy ya uhakika huko EPL ni mtihani mzito mamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
 
Hii ndio ilikuwa trophy ya uhakika huko EPL ni mtihani mzito mamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
hua hakuna usingizi uliochanganyika maumivu na hasira, we jiandae kukesha tu, utalala asubuhi wenzako tukiamka.
 
Kichekesho ni atatolea shabiki atakuambia "Bora tumetoka ili tufocus na ligi"

Kumbukumbu zangu zinaniambia tangu Aaron aje Arsenal hajawahi daka penati hata moja. Kama unaikumbuka ya Fernandes, Fernandes alitoa nje huku Aaron akiwa kaenda upande mwingine.

Kwa timu ambayo ina hamu ya kushindana na timu za nje ya Uingereza benchi letu ni la hovyo, kuna wachezaji hata kama tunawapenda vipi inabidi waende. Juzi dhidi ya Fulham nilisema Vieira siyo physical game ya hivyo inamsumbua kuna kiazi kikataka kuanzisha ubishi.

Na kuna wale mashabiki wana ile "We will try again next time" kiukweli hapana ifike muda tujue muda gani wa kukomaa na muda gani wa kusema hapa itabidi nisubiri.
 
Hii ndio ilikuwa trophy ya uhakika huko EPL ni mtihani mzito mamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
Tuna imani na Arteta, M Arteta mikumi tena

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom