








Very painful bado sijapata nafuu hadi sasa View attachment 2555415



computerarsenal kwa afya yako ya kimwili na akili nakushauri achana na hili timu la mapapai, utakuja kunishukuru baadae. 





Hii hapaMWENYE PICHA YA CHEUSI SAKA ANITUMIE![]()
Tunakumbushana kwa nia njema tu, kwenye Epl mkiachana na hizi mechi za katikati na kina Liverpool fixtures zenu za mechi za mwisho kabisa wa ligi ni hizi hapa. View attachment 2555506
Uyu nayeye ni mlezi wa wanna?!
Hii ni chenga ya mwili na akili 🤣🤣🤣
Alisikika mlevi mmoja 😂😂😂😂Arsenal trophyrahisi kulibeba ni la Europa league tuombe Mungu tulibebe halina stress at all sio kama EPL
Kama kikombe Cha europa ndio hiki? Cha uefa mutaweza kukinywa?Kweli sporting ndio wakutusumbua namna hii?kina Bayern itakuwaje sasa?