































































































Arteta, Ramsday na Gorginho wote wamesababisha lile goli kurejeshwa, alaf kwann hakumuanzishaHivi sababu ya kucheza long balls jana ilikua nini? Kwanini hatukuanza build up chini?
Arteta kafungisha game ni mbaguzi mbwa yuleleo sweeper golkeeper kakutana na sweeper strikers hahaha wazee was makombora.
EtieeeeeeSporting leo wajiandae , Emirates huwa hatucheki na kimaView attachment 2554329










Waambie ukweli hao vijanaHizo ni mbwembwe tu ila kiuhalisia Arsenyani msimu ujao hamna lolote, hii ilikua ni one season wonder iliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na ubovu wa top4 teams (Chelsea, Liverpool, Man Utd & Man City)
Kwa kukuthibitishia hilo kwanza hamtapata kombe lolote msimu huu zaidi ya kufanikiwa tu kuingia top4.
Kubwa zaidi pamoja na kufanikiwa kucheza Uefa msimu ujao ila mtaishia kwenye hatua za makundi kisha mtatolewa na kurudi kwenye michuano yenu ya Europa. View attachment 2553478
Tuiwaze Ass'anal ambayo haina kombe kubwa hata moja? Aston villa kubwa kuliko Ass'anal.Kuanzia kocha wenu had mashabiki mnaiwaza Arsenal tu
Jengeni timu acheni lawama kila mtu mtamuona mchawiView attachment 2554328
Title gani... hamchukui chochote mwaka huuPoleni Gunners. Tuendelee kupambania title









Kuna kila dalili leo Arsenyo anaaga mashindano.
Arsenyo 1 - 3 SPO
Agg (3-5)












Dah nimecheka Sana 🤣
Tuliwaambiaga kwamba jorgi akikutana na team inayompress mechi nyingi zinakuwaga zinamshinda hamkusikiaVieira physical yake bado
Jorg jana alikua anajificha hataki kupokea mipira kabisa
Arteta inabidi ajipange sana kwa ajili ya knockout games kama hizi misimu mitatu hii tunatolewa hapohapo Emirates
Arsenyeto hakuna kombe analobeba msimu huu, kitu pekee mnaweza beba Arsenyo msimu huu ni mimba tu.Arteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana, coz hatuna kikosi kipana
Arteta ameyumba jana hana uteteziKwamba arteta alikuwa na imani na ramsdale kwenye penati ama, turner mechi za kirafiki alicheza penati nyingi tu.
Hata sisi wa huku mbondole hatuna imani na ramsdale kwenye matuta.