Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

leo wale wachambuzi uchwara wote wamefyata mdomo
Screenshot_20230317-020411.jpg
 
Hizo ni mbwembwe tu ila kiuhalisia Arsenyani msimu ujao hamna lolote, hii ilikua ni one season wonder iliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na ubovu wa top4 teams (Chelsea, Liverpool, Man Utd & Man City)
Kwa kukuthibitishia hilo kwanza hamtapata kombe lolote msimu huu zaidi ya kufanikiwa tu kuingia top4.
Kubwa zaidi pamoja na kufanikiwa kucheza Uefa msimu ujao ila mtaishia kwenye hatua za makundi kisha mtatolewa na kurudi kwenye michuano yenu ya Europa. View attachment 2553478
Waambie ukweli hao vijana
 
Vieira physical yake bado

Jorg jana alikua anajificha hataki kupokea mipira kabisa

Arteta inabidi ajipange sana kwa ajili ya knockout games kama hizi misimu mitatu hii tunatolewa hapohapo Emirates
Tuliwaambiaga kwamba jorgi akikutana na team inayompress mechi nyingi zinakuwaga zinamshinda hamkusikia
 
Kwamba arteta alikuwa na imani na ramsdale kwenye penati ama, turner mechi za kirafiki alicheza penati nyingi tu.
Hata sisi wa huku mbondole hatuna imani na ramsdale kwenye matuta.
 
Back
Top Bottom