barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Kama kurudisha magoli dhidi ya bournemouth ni rahisi waylize liver, kama kushinda mechi baada ya kisago cha kupigwa wiki ni rahisi waulize manu...
Alafu unakuta mtu wa chelsea haoni hata aibu kubishana na mtu wa arsenal.....
One game at a time, mechi 11 zimebaki.... tano away sita nyumbani...
Alafu unakuta mtu wa chelsea haoni hata aibu kubishana na mtu wa arsenal.....
One game at a time, mechi 11 zimebaki.... tano away sita nyumbani...


