Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama kurudisha magoli dhidi ya bournemouth ni rahisi waylize liver, kama kushinda mechi baada ya kisago cha kupigwa wiki ni rahisi waulize manu...
Alafu unakuta mtu wa chelsea haoni hata aibu kubishana na mtu wa arsenal.....
One game at a time, mechi 11 zimebaki.... tano away sita nyumbani...
 
Unaongea upuuz ,Tumechukua FA cup ,Arteta anamfunga huyo Pep 2-0 Wembley ,tatizo mmeanza kuangalia mpira juz

Wewe mshabiki wa Chelkenge nafasi ya 10 humu unatafuta nn
Bit by bit ,

Tunaanza kucheza na City, kwa mtu wa mpira anaelewa. Mechi inayokuja City wanajua kazi iliyopo mbele yao na hawatoki! Timu inayokutana na Arsenal kwa sasa wanapanga wasifungwe na LFC tusitegemee atafunguka kama alivyocheza na Utd.

Mtu asifikri kuifunga Fulham ni rahisi. Wakati tunashangilia ushindi wa Afc Bournemouth walijua ni timu ndogo.
 
Trossad jana kuna pasi ali mpa xhaka daaah ilikuwa goal la 4

Kwenye mfumo wa 4-3-3 wenye double 8 ,unatoa nafasi kwa front 3 na hawa namba 8 wawili kufunga Sana na kutengeneza Sana mabao

Ile front 3 pamoja na Jesus aliyekuwa injury wamechangia kila mmoja Goli 10+

Xhaka angekuwa makin angetoka msimu huu na Goli 7-10

Fabio Vieira ambaye anatokea bench kachangia Goli 8

Arsenal Wana mpango wa kumchezesha Smith Rowe na Vieira eneo Hilo analocheza Xhaka ,lakini pia Kuna tetes za Ikay Gundogan kuja msimu ujao
 
Hahaha Labda martinel yule wa baada ta Jesus kuumia, ila Martinel huyu wa Baada ya Trossad kuja hapana hatakiwi kukaa benchi,, yana kuna game zinazokuja watakipiga wote watatu
Mana kule juu c unaona jesus saka kati ya martinel na trossad unafkil kwa moto anao anao uwasha trossad nani anastahil kuanza
 
11 2 GO.jpg



11 to 14th title
 
Umemsikiliza Arteta jana ? Kasema alisha ongea na Jesus hilo swala anatakiwa apiganie nafasi kama wengine .

Hiyo amesema tu kama excuse akimaanisha hawezi kuanza kwa mechi ijayo kama mashabiki wanavyotegemea.

It's obvious mchezaji akitoka kwenye injury hawezi rudi moja kwa moja kwenye 1st elevent, anapewa game time kidogo kidogo ili a catch-up na wenzie.

Probably tunaweza kumuona Jesus kwenye 1st eleven baada ya international break.
 
Hiyo amesema tu kama excuse akimaanisha hawezi kuanza kwa mechi ijayo kama mashabiki wanavyotegemea.

It's obvious mchezaji akitoka kwenye injury hawezi rudi moja kwa moja kwenye 1st elevent, anapewa game time kidogo kidogo ili a catch-up na wenzie.

Probably tunaweza kumuona Jesus kwenye 1st eleven baada ya international break.
Time will tell, Maana madogo wako moto tofauti na alivotuacha.
 
Back
Top Bottom